Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, nini tunajifunza?

Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, nini tunajifunza?

Hakuna cha kiingereza wala nini... muziki ni lugha ya dunia. Hata uimbe kwa kichina kama muziki ni mzuri utapenya tu. Kina Brenda Fassie, Yvone Chakachaka na wakali wengine toka SA wanaimba kiingereza? Wakongo je? Yousso Ndour? Hawa vijana wetu uwezo wao mdogo. Huyu Diamond kinachombeba ni ujanja wake mwingi wa kucheza na mitandao.
Akina Brenda Fassie, Yvonne Chakachaka na wasouth wote wana nyimbo za kiingereza pia ndo maana muziki wao upo juu. Wakongo hawaimbi lakini muziki upo juu ila ni Africa tu, na kidogo ufaransa ambako wao wako wengi. Na matamasha yao mamtoni wanajaa waafrika tu lakini huwezi linganisha na matamasha ya wanaija wanajaa watu wote na hio ndio utofauti wa lugha unaingia hapo. Una wivu wa kike tuu lakini kimuziki Diamond yupo juu angeimba kiingereza wanaija wangeisoma namba.
 
Akina Brenda Fassie, Yvonne Chakachaka na wasouth wote wana nyimbo za kiingereza pia ndo maana muziki wao upo juu. Wakongo hawaimbi lakini muziki upo juu ila ni Africa tu, na kidogo ufaransa ambako wao wako wengi. Na matamasha yao mamtoni wanajaa waafrika tu lakini huwezi linganisha na matamasha ya wanaija wanajaa watu wote na hio ndio utofauti wa lugha unaingia hapo. Una wivu wa kike tuu lakini kimuziki Diamond yupo juu angeimba kiingereza wanaija wangeisoma namba.
Dada Carlitos kwanza kabisa ninawaheshimu wanawake wote na huwa ninajiepusha sana na kuwajibu vibaya. Wewe na wanawake wenzio ni wa muhimu sana kwenye haya maisha. Kwa maelezo uliyotoa niseme tu huufahamu muziki na una fikra zilizo nyuma ya wakati. Hitsong ya Brenda Fassie iitwayo Vulindlela ilikuwa ya kiingereza? Nyimbo zilizompa hadi tuzo za grammy Miriam Makeba zilikuwa za kiingereza? Angelique Kidjo? Yousou Ndour kapiga show kwenye majukwaa makubwa duniani naye kaimba kiingereza?
 
Back
Top Bottom