Hasimamishi na huku huyo demu aliyetoa madai hayo(Stefflon Don) aliishi naye miaka zaid ya mitano,muda wote huo alikuwa anatumia vidole!?Hana mtoto, na jamaa hasimamishi taha kidog, yy mwenyewe alitoka hadharani aka ongea
Unesahau uchawiMsanii yeyote ili afanikiwe anatakiwa amiliki vitu vifuatavyo;
1.Kipaji
2.Nyota
3.Connections
Hapana,Burna boy ndiye msanii bora zaidi kuwah kutokea AFRIKA...
Hebu tuwekee hiyo clip akisema hasimamishi hata kidogoHana mtoto, na jamaa hasimamishi taha kidog, yy mwenyewe alitoka hadharani aka ongea
Hayo ndio mnayoyajua halafu mnalilia mafanikio,Kwahiyo mwamba ni [emoji304]
Wanaigeria wanajitambua na kupeana support.Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi.
Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.
Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.
Wabongo haujawszoea wewe.Hebu tuwekee hiyo clip akisema hasimamishi hata kidogo
Wanaigeria wanajitambua na kupeana support.
Diamond na menejiment yake wanaangalia namna ya kubenifit kwa kiwakamua vilivyo upcomings kupigia mikataba ya kipuuzi.
Diamond akipata tetesi kuna msanii anarelease wimbo anahakikisha anatoa wimbo haraka kumfunika.
Soko lisilo na uwiano si soko bali anguko la anayelidhibiti
wasanii wapendane na kupeana sapoti
Bado nasisitiza nilichokisema.Inawezekana Diamond humfuatilii, Diamond alikaa miezi zaidi ya nane baada ya kutoa album yake ya FOA.Juzi ndio katoa nyimbo mpya na hata hiyo album alikaa karibia miezi sita ndio akatoa album.
Pili hivi unatizamaga nyimbo mpya zinazo achiwa na wasanii wa Nigeria MTV,mfano Burna ,Wizkid juzi wameachia nyimbo mpya na kuna lundo wasanii kibao wameachia nyimbo,bongo hapa kwanza wasanii hawatoi nyimbo kwa fujo.
Nitajie msanii mpya aliye achia nyimbo juzi na Diamond nae ndani ya wiki hiyo akaachia nyimbo.Mondi ktk miaka hii mitatu mfululizo naona hata mziki kidogo aliupa mgongo alikuwa anabuild media yake hata nyimbo alikuwa haachii kwa fujo.
Hivi ktk hii Industry ya Bongo fleva kuna msanii aliyebaniwa kama Diamond?Nitajie msanii ambaye alibaniwa na zaidi ya media tatu kubwa Tz ila still akasimama na yy na label yake nitajie MMOJA TU.Nitajie msanii mmoja aliye jitokeza akaongea na kusema hii sio sawa mmoja tena kwenye vyombo vya habari.
Mimi sizioni na ndio maana nipe reference,mimi nimekupa jinsi jamaa alivyokuwa hapewi Airtime, YouTube ipo wanaweka na tarehe weka hapa tuone.Bado nasisitiza nilichokisema.
Kama upo kwenye industry utakuwa na macho ya kuona rafu zake.
Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
Hamna kitu kama hichi, kwenye gemu lolote hamna upendo ni chuki kwa kwenda mbele. Ngozi nyeusi uwa hawaombeani heri kwenye kutafuta pesa thubutuu. Wanigeria basi huwajui vizuri ukiona wasanii wao wanapatana sana basi ujue hao ni kabila moja labda yoruba, Igbo, Hausa, fulani n.k. Kwa ukabila Nigeria hata wakenya hawaoni ndani.Mafanikio ya Nigeria sio ya mtu mmoja mmoja bali wenzenu wanapendana wasanii wanasaidiana ,hamna majungu chuki na wivu kwa wasanii waliopo juu, mwisho wana SYSTEM nzuri ya kuendesha mziki wao ambao una waunganisha washikadau wote wawe kitu kimoja. Ndio maana leo unamuona Asake,Rema, Fireboy nk wanawika sababu mfumo upo wa kuwabeba.
Hivi ulimsikia Shatta Wale wa Ghana alivyokuwa akiuzungumzia mziki wa Nigeria na huyu si msanii mdogo kishafanya Collabo mpaka na Beyonce, Siongei kujifurahisha.Hamna kitu kama hichi, kwenye gemu lolote hamna upendo ni chuki kwa kwenda mbele. Ngozi nyeusi uwa hawaombeani heri kwenye kutafuta pesa thubutuu. Wanigeria basi huwajui vizuri ukiona wasanii wao wanapatana sana basi ujue hao ni kabila moja labda yoruba, Igbo, Hausa, fulani n.k. Kwa ukabila Nigeria hata wakenya hawaoni ndani.
Ukiwaona wanapatana basi ujue ni kabila moja hao. Bado naendelea kusisitiza tatizo kubwa ni lugha, waanze kutumia na kiingereza sasa lazima watapata masoko zaidi. Hata movies tu, kwenye Netflix movie za Nigeria na Ghana zipo kibao shauri ya lugha, sasa hivi hata za Kenya zimeanza pia. Za bongo ilitoka moja hio ina subtittles lakini hata huyo mwandishi wa subtittle alikua anachapia pia. Lugha ni muhimu sana.
Umejitahidi kuelezea lakini Kenya hawana wanamuziki wa kutoboa anga za kimataifa kwa kifupi muziki wao ni huko huko East Africa, Diamond baada ya kuimba na Davido angeendelea kuimba kilugha cha malkia angetoboa maana ilikua hata ukienda kumbi za muziki mamtoni unasikia nyimbo yao na ilikua inatajwa sana kua ni ya Diamond. South Africa walianza kuja maana hata majuzi vifo vya wanamuziki wao vimesikika kimataifa.Hivi ulimsikia Shatta Wale wa Ghana alivyokuwa akiuzungumzia mziki wa Nigeria na huyu si msanii mdogo kishafanya Collabo mpaka na Beyonce, Siongei kujifurahisha.
Proud Naija Boy' Shatta Wale calls Nigerian artists "upcoming" in frustration
Known for being controversial, a seemingly frustrated Shatta Wale also referred to all Nigerian artists as “one styled”.gazettengr.com
Hakuishia hapo tu akapost clip ya Mr Flavor kwenye account yake ya twitter akiblame kwamba kuna baadhi ya wasanii wa nje wanafanya vizuri zaidi ya wanaija akatoa mfano wa Diamond, ila hawapewi airtime na vyombo vya Naija pamoja media kubwa za International.
Nakumbuka Vannesa Mdee alishawahi kuongea tukitaka mziki wetu utoboe zaidi vyombo vya kimataifa lazima tuwe na Decision Makers kwenye hizi media za kimataifa na ndicho kinacho tokea sasa,hivi brother unatizama MTV Africa, kaangalie playlist yao 70% ni mziki wa Nigeria,kafanye research yako hata ya siku tatu angalia playlist ya MTV Base.Wale jamaa wanajua kubebana na si wabinafsi na wasanii wao wanashirikiana mno.Lugha sio kila kitu SA na Kenya si wanazungumza Kingereza now wapo wapi.
Umejitahidi kuelezea lakini Kenya hawana wanamuziki wa kutoboa anga za kimataifa kwa kifupi muziki wao ni huko huko East Africa, Diamond baada ya kuimba na Davido angeendelea kuimba kilugha cha malkia angetoboa maana ilikua hata ukienda kumbi za muziki mamtoni unasikia nyimbo yao na ilikua inatajwa sana kua ni ya Diamond. South Africa walianza kuja maana hata majuzi vifo vya wanamuziki wao vimesikika kimataifa.
Turudi kwenye muziki wa bongo, hivi unajua akina Diamond/harmonize uwa wakija unyamwezini wanaoingia wengi ni east africans lakini wakija wanaija/ghana hadi wazungu wanafurika kwenye hizo kumbi...nambie sababu ni nini???LUGHA wanaousikia muziki na kuelewa maneno yanayoimbwa. Anyway, I agree to disagree ila mie ndio nilichoona hilo ni tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliWakiandikwa kwenye mitandao ya kijamii kwa skendo kwao ni mafanikio tosha ndugu walikwambia kuwa wanahitaji zaidi ya hiko kwani...?
Haswaaaa,Mafanikio ya Nigeria sio ya mtu mmoja mmoja bali wenzenu wanapendana wasanii wanasaidiana ,hamna majungu chuki na wivu kwa wasanii waliopo juu, mwisho wana SYSTEM nzuri ya kuendesha mziki wao ambao una waunganisha washikadau wote wawe kitu kimoja. Ndio maana leo unamuona Asake,Rema, Fireboy nk wanawika sababu mfumo upo wa kuwabeba.