HAYA NDIYO MLIYOTULIPA KWA MIAKA 60 YA UHURU, KWA KUWAPA DHAMANA YA KUONGOZA... [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
 
hata nyie mim pia siwaamin.sina chama ila najiuliza mahela yote hayo nayoskiaga mnapewa mnashindwa hata kuwa na ofis
 
Rasi Magufuli ndio anaye faa kuliongoza Taifa la Tanzania. Kwa Sababu anafanya kazi kwa vitendo sio Viongozi wengine waliopita walikuwa wakisema majukwaani lakini hafanyi kwa vitendo. kura yangu nitampa Rais Magufuli Oyeee.

 
Niko.Hapa kuisubiri tuu 28/10/2020 maana sio kwa kura za ndio zitakazo jionesha kwa Magufuli.

Hunishindi mimi , siwezi kusubiria hiyo sherehe nono ya CCM.
Huyu kaweka sijui picha za Nchi gani, au na yéyé anakaa ubelgiji sijui.
Sisi watanzania halisi kazi za Magufuli tunazijua, tunazithamini na tu taxi enzi daima .
CCM oyeeee
 
Hakika ni Mengi Yamefanyika na Hilo Halina Ubishi. JPM Kaifanyia nchi mambo makubwa na anastahili pongezi kubwa
 
Na Emmanuel J. Shilatu

Sifa kuu 3 zinambeba vilivyo Mwamba wa Afrika na jabari wa mageuzi ya kiuchumi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mpaka kufikia hatua Watanzania kuamua mwaka 2020 aendelee kutuongoza.

*A: UADILIFU*

Rais Magufuli amesimamia mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi ambapo wanaotuhumiwa kwa ufisadi Papa na ulaji rushwa wamepandishwa Mahakamani

Pia ameimarisha uwajibikaji, uadilifu na uchapa kazi kwa Watumishi wa umma nchini na kusimama kidete kufufua Mashirika ya umma yaliyokuwa taabani. Mfano shirika la ndege, shirika la simu.

Halikadhalika amefanya uchunguzi wa rasilimali za Taifa na kuweka makubaliano mapya kwenye sekta ya madini.

Rais Magufuli amedhibiti madawa ya kulevya na ujangili wa Tembo na Faru ambapo wameongezeka kuashiria kupungua kwa biashara ya nyara za Serikali.

Kwenye upande wa masuala ya kidiplomasia ameimarisha mahusiano mazuri na nchi jirani.

Haijawahi kutokea kwani Rais Magufuli ameweka uwazi wa taarifa na udhibiti wa rasilimali za Taifa.

*B: UZALENDO*

Baada ya Mwalimu Nyerere anayefuatia ni Rais Magufuli kutoa Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari ambapo Serikali hutumia Tsh. Bilioni 23 kila mwezi kulipia elimu bure.

Uonevu, ubabe, ubaguzi umepungua na ni sahihi kusema Rais Magufuli amepunguza uwepo wa matabaka ndani ya jamii.

Ni wazo la Mwalimu Nyerere lakini Rais Magufuli amekuja kulitekeleza la ujenzi wa mradi mkubwa wa Mto Rufiji wa kuzalisha umeme zaidi ya Megawatts 2115.

Rais Magufuli amefanikiwa kudhibiti matumizi ya hovyo ya fedha na fedha kuelekezwa zaidi kwenye miradi ya kimaendeleo.

Pia Rais Magufuli yupo imara na amesimamia ukusanyaji na matumizi sahihi ya kodi. Makusanyo yameongezeka kutoka Tsh. Bilioni 800 hadi kufikia Tsh. Trilioni 1.9 kwa kila mwezi.

Waliojipenyeza kwenye ajira Serikalini bila ya sifa amewaondoa. Hivyo JPM amefanikiwa kudhibiti vyeti feki na mishahara hewa na kubaki historia nchini.

Leo hii Watanzania tunajivunia nchi yetu, viongozi wetu, rasilimali zetu na utaifa wetu. Hivyo JPM Ameimarisha UZALENDO nchini.

Hakuishia hapo amerudisha mashamba na viwanda vilivyobinafsishwa na havikuendelezwa.

Leo Taifa linanufaika na madini kwani amedhibiti usafirishwaji wa makinikia na hayaendi kuchenjuliwa tena nje na madini yanauzwa hapa hapa nchini kupitia masoko ya madini yaliyoanzisha maeneo mbalimbali yenye madini. Huu ni uzalendo wa kuigwa wenye tija vizazi na vizazi.

*C: UCHAPA KAZI*

Leo hii Serikali imehamia Dodoma na mpaka Rais Magufuli nae pia amehamia Dodoma. Walisema haiwezekani lakini nia ya dhati na uchapa kazi wa Rais Magufuli na Serikali yake imedhihirisha inawezekana.

Baada ya reli ya Mkoloni yenye zaidi ya miaka 120, leo hii Rais Magufuli ameanzisha Ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme ya SGR ambayo ni reli ya kisasa, yenye kasi na inayobeba mizigo mingi.

Sera ya Tanzania ya viwanda ipo kivitendo. Leo hii kuna ujenzi wa viwanda vipya zaidi ya 3000.

Rais Magufuli aliapa kuilinda katiba ya nchi ambapo kuna uimarishwaji wa amani na Uhuru wa kidemokrasia ndani ya nchi. Mathalani Umoja wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Magufuli kudumisha amani na usalama ndani na nje ya nchi.

JPM amesimamia vyema ukuaji wa uchumi uliokuwa na kufikia 7.1%

Kwenye afya napo pamenoga kuna ujenzi wa vituo vya afya kila kata na ujenzi wa Zahanati kila kijiji.

Serikali ya Rais Magufuli imedhibiti maandamano ya kisiasa na ya kijamii (Mf. Wanafunzi, Madaktari) na sasa yamebaki historia.

JPM amenunua ndege mpya 8 za kisasa na Leo hii ATCL imefufuka inachanja anga za kitaifa na kimataifa.

Ameweka mikakati mizito ya kupunguza foleni kwa Ujenzi wa flyover ya Tazara na interchange ya Ubungo.

*Na Shilatu E.J*
 
Kwa haya aliyo yafanya hakuna budi akipata mitano tena aendeleze alipoishia ingawa demokrasia ndio itakayo amua
 
July 1, 2020 is the date that will go down as remarkable day in Tanzania history as the first and starting date for implementation of the fifth and final Government Budget to end the first five years of the fifth regime but more important a day the World Bank recognized Tanzania as a middle-income country, five years before reaching 2025.

In discussing these achievements I would like to remind seven( 7) key success stories which will go down as remarkable international records to interpret these achievements;

#First, I keep in mind that all who were asking and challenging on what kind of nation President Magufuli is building , July 1, 2020, the World Bank have responded! That Magufuli was building a middle income nation.

# Second, Is the record released by the International Monetary Fund(IMF) through the former Director of the Organization, Ms. Christine Legarde when interviewed by Quartz Magazine, in 2017 in Ethiopia.

When asked which African countries are heading to Vietnam industrial revolution, She cited Tanzania, Ethiopia, Nigeria and Kenya. Again this was the answer to those who were questioning whether President Magufuli Government is really building an industrial economy.

# Third record is the one released at the World Economic Forum 2018, where Tanzania was ranked the leading African nation for an inclusive economy in Africa South of Sahara. This record cementing the fact that Magufuli government is indeed a pro-poor government.

# Fourth record is where the Government of Tanzania was ranked 28th out of 186 nations surveyed in the world for effective management of public finances. , this record defeated so many countries in the world. Our competitors in EAC & SADC Blocks were ranked as follow; Kenya (70), Uganda (100), Malawi (106), Mozambique (118), Ghana (61), Botswana (37). This record proves that even the world recognizes President Magufuli is building a disciplined spending government with a great record not only in Africa but in the world. This is according to a report by the World Economic Forum, Executive Opinipn Survey 2019).

# Fifth record, Tanzania was named as the leading nation out of 37 African countries surveyed in the fight against corruption. This is according to The Africa global opinion survey 2019.

We suppose to appreciate that we have come a long way, the era of renting a plane for 43 million dollars but working 6 months and finish the rest 37 months of contract in garage (refer to CAG report April 2020).

Today the government purchases new aircraft bombardier for $ 32 million! This is just a small example to show that as a Nation there are decades we lost!

# The sixth record comes from African Global opinion survey report of 2019 which shows citizen trust to their government has increased tremendously. It revealed that 72%had trust to their government in fighting corruption compare to 13% in 2015 .This is one of the recordings of a major revolution in the world.

# The Seventh Record comes from the number one global Credit Rating Agency, the MOODYS.

According to MOODYS Credit Rating Agency, which own 45% of global market share, rated Tanzania higher than any East Africa country with B1 leaving the rest with B2 ranking in 2017 report. This assessment is the first of its kind in Tanzania since independence.

These are global records and will remain so as President Magufuli international identity let alone the great diplomacy he used to confront COVID19 and leave the rest of the world wondering how it was possible for a corona pandemic that shaken the whole world but failed in Tanzania.

What I am emphasizing here is that while Magufuli achieves such a great international record, it should be noted that he come into power in 2015 when the government was unable desperate and unable even to manage wagebill!.

He received a Government that had to borrow to finance wage bill (desperate government)! but within 5 years he achieved a great record in every sector related to human development !.

He has succeeded in building an economically strong Government in all economic interpretations in the world.

Those of us who were familiar with these records are not surprised to hear Tanzania being declared qualified to enter the middle income economy 5 years before the target year which is 2025.
 
Katika miaka mitano ya muhula wa kwanza wa uongozi wa Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli licha ya kuwa ni Muumini wa dini ya Kikristo amekuwa akiongoza nchi kwa kushirikiana vema na viongozi na waumini wa dini ya Kiislam pamoja na waumini wa Madhehebu mengine yaliyopo Nchini.

Uongozi wake umekuwa una usawa kwa watu wa dini zote pasipo kuipendelea dini yoyote.

Pia, kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mhe. Rais Magufuli katika kampeni amekuwa akiwasisitiza wananchi kuwachagua viongozi pasipo kutazama itikadi zao za kidini bali watazame sera ambazo zinalenga kuliletea Taifa maendeleo.

Katika kudhihirisha kuwa Mhe. Rais Dkt. Magufuli abagui dini, amejenga msikiti Wilayani Chato ambao una uwezo wa kubeba waumini 5000 kwa wakati mmoja.

Pia Mhe. Rais Magufuli amewezesha mchakato kujengwa kwa msikiti mkubwa Kinondoni jijini Dar es salaam ambao aliiomba Serikali ya Morocco ijenge, ili waumini wa dini ya kiislamu wapate msikiti mkubwa ambao utawewezesha waumini wengi kuswali mahala pamoja kwa wakati mmoja.

Kadhalika, Mhe. Rais Magufuli alichangisha zaidi ya Shilingi Milioni 40 katika Uzinduzi wa Kanisa la Katoliki Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Jijini Dodoma kwa ajili ya ujenzi wa msikiti wa Chamwino Jijini Dodoma, kutokana na watu wa dini mbalimbali kuchangia fedha za ujenzi wa kanisa hilo.

Hakika tumepata Rais Mcha Mungu na anayewapenda wananchi wote pasipo kubaga imani zao za kidini.

Mungu Mbariki Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Mungu Ibariki Tanzania.
 

We Tanzanians with nationalism aspects do highly admire and respect the efforts of our lovely President Dkt JOHN Pombe Magufuli which leads our country through so many achievements including few stated above.
We know much of what had happened in these short time of five years.
Big up for JPM and CCM.
We are praying for you to win over 85% in your second term 2020-2025.
God bless us.
 
Hakika ni mengi ameyafanya bado watu hatutaki kuamini.
Mi nauliza mbona wanaopinga ndio haohao wanaotumia vitu hivyo ???

Swala ni kwamba kumbe wanatukubalineeeh hahahha wataendelea kuisoma namba mpaka wakome mwaka huu.

Kama kuna mtu anaona hajafanya chochote basi wahame nchini waende nchi jirani huko mbona wanaruhusiwa tu jamani.
 
Hana mpinzani huyu Baba, kwa mapenzi ya dhati aliyonayo kwa Taifa letu na kwa sisi wananchi kiukweli anastahili miaka mitano tena.
Nitamchagua Magufuli[emoji1241][emoji3581]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…