Si nongwa zetu mnazozileta ilihali mioyo yenu inawatesa na kuwasuta.
kama ilivyo jadi kiongozi lazima ukae mbele kuongoza mapambano, na hata ikibidi kufa basi tumeliona hapa.
Wanaofurahi huku wasijue kiza kinakuja, wasijue kuhusu kesho yao !wakiwa wameitupa mioyo na maisha pamoja na ndoto kwa wengine, bila kujali kwamba hao wengine wana mioyo,ndoto pamoja na maisha yao, na je wapo tayari kuangalia ndoto ,mioyo na maisha ya wengine.
Aghalabu sana mtu kuwa na moyo wa dhati bila kukurupushwa .
Umeme 24/7 ,maji 24/7 , elimu bure, utu na nidhamu kisehemu.
Moyo wa kujituma na kulipenda Taifa. Moyo wa uzalendo. Amani iliyo jengeka nchini kwetu.