Ujenzi was Chato Airport
Upanuzi wa Dar Airport no mpango was muda mrefu
 
Mimi raia wa chini sioni cha ajabu alichofanya ukilinganisha na utawala uliopita
 
 
 
https://join-jamiiforums.com/18239121
Join now to generate free money for free its very simply click that link to join.
 
Hizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?

Ni ahadi ya miaka tano,wewe unaitaka leo ndio miaka miwili tu,inaonekana hakuna tatizo unaloliona ndio maana umeamua kuokoteza.
 
Watu wana sema kaleta nidhamu.nidhamu hailetwi kwa kufukuza watu hovyo na kutoa kauli za vitisho. Mngefahamu watumishi wanavyomfanya huyu jamaa mngesikitika sana

huwezi kuona sababu umeshatumbuliwa,vyeti feki. sisi tunaona nidhamu ipo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…