Umeandika vema. Mara nyingi kwa ushauri tuu, ukiandika makala hizi; ipanue zaidi kwa kudokeza machache ambayo unadhani pengine yanahitaji improvement katika utekelezwaji. Makala itanoga zaidi. Otherwise shukrani sana.
 
Ndio maana Rais anaongea hamtaki kuelewa anacho fanya,,bora aendelee kuwatoa wanao sumbua maana wa bongo tuna akili za mbuzi.Jpm pga kaz sis tunaona tz watu wa lawama
 
Maendeleo hayana vyama tujikite kujenga nchi lkn katiba ifuatwe
Ndio maana Rais anaongea hamtaki kuelewa anacho fanya,,bora aendelee kuwatoa wanao sumbua maana wa bongo tuna akili za mbuzi.Jpm pga kaz sis tunaona tz watu wa lawama
 
Ndio maana Rais anaongea hamtaki kuelewa anacho fanya,,bora aendelee kuwatoa wanao sumbua maana wa bongo tuna akili za mbuzi.Jpm pga kaz sis tunaona tz watu wa lawama
He's already mess it up and screws our economy...KAZI ipi tena apige...akae pembeni Kesha feli completed
 
Hakuna mafanikio makubwa Kama pyschological promo. Amani moyoni ni mafanikio ukiwa unamuamini kiongozi na anakuhakikishia hayo ni mafanikio.
Mh Magu .ajue huko alipo kwamba uaminifu wake ni silaha na amani moyoni mwetu

Na hakuna kitu mbaya Kama psychological trauma
 
Ukitaka kujua nchi imetulia kwa sasa baada ya rais Magufuli kuingia madarakani 2015, tofauti na kikundi cha watu wachache ambao mirija yao imezibwa ,wakitumia kichaka cha kujiteka na kiupakazia serikali.
Hata hivyo drama hii imeshindwa ku-hit kama kigenge hiki kilivyotarajia.

Yafuatayo ni matukio sugu hayapo kwa sasa na ni kiashiria tosha kwamba nchi inaendeshwa kwa ustadi na umakini

1-Hakuna migomo ya wafanyakazi na maandamano ya mara kwa mara ,wafanyakazi wako bize kutoa huduma kwa jamii

2-Hakuna migomo na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu mara kwa mara kama ilivyokua awali.mikopo inatoka kwa wakati na hakuna upendeleo

3-vurugu za maandamano na uporaji wa vyama vya upinzani ulioshamiri kila uchao ,yamekoma

4-ujambazi rate inmeshuka sana

5-utapeli na udhulumati wa wazi rate imeshuka .

Mengine ongeza na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…