Ukitaka kujua nchi imetulia kwa sasa baada ya rais Magufuli kuingia madarakani 2015, tofauti na kikundi cha watu wachache ambao mirija yao imezibwa ,wakitumia kichaka cha kujiteka na kiupakazia serikali.
Hata hivyo drama hii imeshindwa ku-hit kama kigenge hiki kilivyotarajia.
Yafuatayo ni matukio sugu hayapo kwa sasa na ni kiashiria tosha kwamba nchi inaendeshwa kwa ustadi na umakini
1-Hakuna migomo ya wafanyakazi na maandamano ya mara kwa mara ,wafanyakazi wako bize kutoa huduma kwa jamii
2-Hakuna migomo na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu mara kwa mara kama ilivyokua awali.mikopo inatoka kwa wakati na hakuna upendeleo
3-vurugu za maandamano na uporaji wa vyama vya upinzani ulioshamiri kila uchao ,yamekoma
4-ujambazi rate inmeshuka sana
5-utapeli na udhulumati wa wazi rate imeshuka .
Mengine ongeza na wewe