Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kumbe JF ni ya ubaguzi.Basi haifai.Mi nilidhani mna mawazo huru,kumbe mnataka kusikia mawazo ya aina moja tu!.
Wala JF hawana tatizo wala ubaguzi ila ni ugeni wako ti ndio tatizo maana huelewi A wala Be. Upo upo tu.
 
we jamaa K
 
Viva Maguful! We pray for you! carry on Baba Suz!
 
Wewe upo kimara bonyokwa unasema magufuli anasifiwa na mataifa yote. Tuulize sie tunaokaa ughaibuni ujue jinsi jamaa credibility yake ilivyokufa.
We unadhani leo hii kwenye suala la upatikanaji wa taarifa kuna tofauti kati ya mtu aliyeko kimara na sydney australia? Mimi niliopo kimara naweza nikapata taarifa iliyotekea mtaa wa tatu kutoka unapoishi wewe hapo Alexandria Egypt kabla hata wewe mwenyewe hujaipata...boy...open your narrow mind
 
Hahahaa, we msomali ni shida. Mi sipo Alexandria asee, nipo Lamu kwa baba moi.
 
RAIS Magufuri ni Rais bora nchini Tanzania kiliko rais wa wakati wowote uliopita.

Lengo la kusema hivi najua mimi na nia ya kusema hivi naijua mimi.

Chapeni Kazi vijana acheni kulala kama mnapandisha mlima tumia tumia gia na moja kuvuka kigingi.
 
Rais Wangu jua ya kuwa unapendwa sana na wala usihofu na endelea kupiga kazi kwa moyo wako wote na usirudishwe nyuma na mtu yeyote. Napenda kukufahamisha ya kuwa kazi yako inaonekana sana na endelea kulitumikia taifa hili na ninakuhakikishia kuwa watanzania wengi tupo nawe .
Mwisho usiwe na wasiwasi kabisa juu ya uongozi wako na 2020 utashinda kwa kishindo.
 
Kutufikisha mahali si issue. Tatizo ni hapo mahali atakapolifikisha taifa.
 
ni mara chache sana binadamu wote kushukuru jambo kwa wakati mmoja.

leo mimi na wengine wengi tunamshukuru na kumpongeza JPM kwa kazi nzuri anayolifanyia taifa hili, hapohapo kuna wengine wana mlaani na kumtukana kana kwamba sijui kawafanya nini. ndivyo maisha yalivyo na ndivyo binadamu tulivyo.

Kikwete walimtukana kila aina ya tusi na dharau za kila aina, cha ajabu hao hao leo wanamkumbuka na wanatamani awe rais tena. hao ndio binadamu, hata Mwenyezi Mungu Muumba wa mbigu na ardhi kuna binadamu hawamshukuru na hawaoni umuhimu wake.

JPM piga kazi, tuko pamoja na wewe, sie tumeshakukubali na tunaendelea kukukubali, kuna watakaokukubali mwakani, na pia kuna kuna watakaokufuata chato enzi hizo umeshapumzika waje wakuambie kweli wewe ndio ulikuwa rais.

ndivyo binadamu tulivyo.
 
Uzi wa kitambo, nimeucheki leo na nimeulinganisha maudhui yake na matunda yaliyomea hadi sasa.


Mengine nawaachia Critical thinkers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…