Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Binafsi sitegemei hata kujiandikisha kwa sababu tayari nina kitambulisho cha Taifa na uzuri kitafikia ukomo mwaka 2026. Labda naweza kushawishika tena 2025 iwapo Mungu atanijalia uzima. Yaani polisi mwenyewe, mahakama ni wewe mwenyewe, hakimu ni wewe mwenyewe; halafu utegemee haki kutendeka! Poleni sana wapinzani.

Mkubali tu kujipanga ili muaminike na siku moja mje muiondoe hii ccm. Hakuna lisilowezekana.
 
Idadi ya wapiga kura itapozidi asilimia 20 ya waliojiandikisha ndio ntashangaa.
 
Kwanini tushangae wakati hakuna lisilowezekana kwenye nchi hii?! Itategemea tu na maamuzi ya waamuaji.
 
Kwa maana yako ametumia ela yake ya mshahara kuvijenga hivyo vituo vya afya au ni kodi zetu wenyewe?
In God we trust
 
Punda afe mzigo ufike
Binafsi sitoshangaa, maana bwana mkubwa sikuzote huwa hataki kuangushwa! Elewa NEC wao ni kumfurahisha jiwe hata kama matokeo yatakuwa ya kupikwa.

In God we trust
 
Huyo anaye vijenga katoa ela ya mshahara wake?mbona mnajitoa akili nyinyi kisa gani haswaa?
Hayo ni mabrasha tu hayana uhusiano wowote na utekelezaji wa maazimio hayo, au walitoa fedha za utekelezaji baada ya kuazimia?

In God we trust
 
Leo naona umeamua kuwacha uvivu
In God we trust
 
Mwambie huyo
In God we trust
 
Kumbe wanao kerwa na utawala mbovu ni wapinzani tu?
In God we trust
 
Reactions: BAK
Hilo swali lako la kipumbavu kamuulize chakubanga.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…