Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Magufuli ndio rais pekee alie fanya wapinzan waone tume ya uchaguz Sio huru kwa sababu. Wamekosa hoja za kujadili wameona wafe na tume hii ikiwashinda wataanza kupambana na kwann rais ni mweusi
Sent using Jamii Forums mobile app
 


kipengele cha kwanza una maoni gani hadi sasa
 
Leo Ni Mei mosi mwaka wa tano Sasa wafanyakazi wameambulia patupu, Mimi kwa upande wangu sioni cha maana alichofanya kuwazidi waliomtangulia. Tena wao walifanya mambo mengi ambayo yamewafanya wakumbukwe Hadi Leo.

Kabla hatujamchinja kwenye sanduku la kura tuambie amefanya nini cha maana.
 
Serikali nyingi Afrika huwa hazitegemei Sanduku la Kura ili kusalia Madarakani,huwa yanafanyika Maigizo flani hivi kuaminisha Dunia ni kama vile Kula na Kipofu.
 
Huu ndio uwe mwaka wa kumuadhibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bia yetu,
Ivi mtu kama wewe wakiona comment yako ndugu zake mama Rwakatare, Maige na Yule wa Mwanza wanajisikiaje ? hii ishue ya corona ni nzito sana aisee na ni ubish wa magufuli ndio umetufikisha hapa, ataenda nchi ya ahadi pekeyake ? watu wanapukutika aisee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yan sijawah kuona nchi yenye watu wajinga na wapumbavu kama TANZANIA, yan na dhoruba yote hii waimba mapambio yakusifu na kutukuza bado wapo ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Akihubiri Kanisani kwake leo askofu Gwajima amewawekea video clip ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa leo Ikulu ndogo ya Chato.

Askofu Gwajima amesema alichofanya Rais Magufuli ni ujasiri ambao haujawahi kuonyeshwa na kiongozi yoyote duniani.
Hotuba hii ingetolewa na Trump wa USA au Johnson wa UK ingekuwa ndio habari kuu ya dunia kwa sasa lakini kwa sababu imezungumzwa na kiongozi wa Afrika haitapewa uzito wa juu.

Gwajima amesema siyo kwamba anamfagilia Rais Magufuli bali ukweli ni kwamba Dr Magufuli ni chaguo la Mungu.
 
Askofu wa wajinga, aangalie kwanza kashfa alizonazo za kueneza ukabila na kadhalika kabla mtu hajamsikiliza askofu wa wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…