Akifuatiwa na MakambaMwandosya angekuwa ten times better
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifuatiwa na MakambaMwandosya angekuwa ten times better
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee wa madili wote watamchukia Rais Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali fulani!
Tuwafichue wote wanaopanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...
tutampima kwa matokeo kama vifaa vya kutosha mahospitalini, madawa ya kutosha, wafanyakazi wa kutosha hasa elimu na afya, vitendea kazi vya kutosha mashuleni, wanafunzi wenye sifa elimu ya juu wote wanapata mikopo, barabara nzuri, maji salama, umeme wa uhakika, uchumi wa mtu mmoja mmoja umekua n.k hatutampima kwa ziara maofisini
Huu ndio uwe mwaka wa kumuadhibuLeo Ni Mei mosi mwaka wa tano Sasa wafanyakazi wameambulia patupu, Mimi kwa upande wangu sioni cha maana alichofanya kuwazidi waliomtangulia. Tena wao walifanya mambo mengi ambayo yamewafanya wakumbukwe Hadi Leo.
Kabla hatujamchinja kwenye sanduku la kura tuambie amefanya nini cha maana.
yako mengi ya kushughulikia. tumpe muda bado ni mapema...
Askofu wa wajinga, aangalie kwanza kashfa alizonazo za kueneza ukabila na kadhalika kabla mtu hajamsikiliza askofu wa wajinga.Akihubiri Kanisani kwake leo askofu Gwajima amewawekea video clip ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa leo Ikulu ndogo ya Chato.
Askofu Gwajima amesema alichofanya Rais Magufuli ni ujasiri ambao haujawahi kuonyeshwa na kiongozi yoyote duniani.
Hotuba hii ingetolewa na Trump wa USA au Johnson wa UK ingekuwa ndio habari kuu ya dunia kwa sasa lakini kwa sababu imezungumzwa na kiongozi wa Afrika haitapewa uzito wa juu.
Gwajima amesema siyo kwamba anamfagilia Rais Magufuli bali ukweli ni kwamba Dr Magufuli ni chaguo la Mungu.