Mleta nada ameeandika satirical sio literal jaribu kumuelewaTatizo la Tanzania sio chama, tatizo tulikosa kiongozi mwenye mapenzi na taifa lake, anaetaka kuwatumikia watanzania kwa hali na mali, mwenye uchungu na taifa lake hili halikuwa upande wa ccm ila ata ukawa kwa Lowassa walifeli pia hivo huwezi kusema kama pandikizi ikiwa yule wao walibugi
Tatizo la Tanzania sio chama, tatizo tulikosa kiongozi mwenye mapenzi na taifa lake, anaetaka kuwatumikia watanzania kwa hali na mali, mwenye uchungu na taifa lake hili halikuwa upande wa ccm ila ata ukawa kwa Lowassa walifeli pia hivo huwezi kusema kama pandikizi ikiwa yule wao walibugi
Jamani mbona upeo Shida hivi amjui nchi hii Chadema walikuwa wanaitaka kupitia lowasa na haya yote magu anayo fanya yangefanywa na akina lssu,mnyik, mbatia na mbowe ndiyo mngejua kwa nn Chadema walimtaka lowasa awasaidie kuchukua nchi kutoka kwenye mikono ya ccm
Tuko tayari kusaini mkataba na shetani ilimradi tuitoe CCM - Lissu
Hizo porojo peleka machame. Unajua lowasa alivyopewa kugombea urais wewe?!Jamani mbona upeo Shida hivi amjui nchi hii Chadema walikuwa wanaitaka kupitia lowasa na haya yote magu anayo fanya yangefanywa na akina lssu,mnyik, mbatia na mbowe ndiyo mngejua kwa nn Chadema walimtaka lowasa awasaidie kuchukua nchi kutoka kwenye mikono ya ccm
Kwa akili kama hizi ndo maana wala sishangai watu wanavyojipa matumaini kama ambavyo wengine wanasema "Magufuri anatekeleza ilani ya CHADEMA" mara oh, "Magufuri alikuwa mgombea wa kujitegemea ambae aliitumia CCM....!"Kuanguka kwa CCM na kuvurunda kwa serikali ya awamu ya nne sio sula la bahati mbaya bali ni mpango uliosukwa ukasukika hasaaa chini ya magwiji wa siasa za kiswahili na wabobevu wa kitaaluma wakiongozwa na Mzee wa hekima za nera Mzee Mtei, Mzee Bob Makank na kijana machachari wa enzi hizo Freeman Aikael Mbowe,
Hakukuwa na njia ya mkato bali kukaa chini na kuchora ramani ndefu ya kuangusha utawala huu wa ccm wenye kila aina ya maovu dunia, na wenye maajabu yote duniania, hilo lilikuwa kama fumbo la imani vile na sasa ni udhihirisho.
Kwa wale walioanza kufuatilia siasa za kiswahili siku za jana itakuwa vikumu kwao kuelewa na kuamini hili nilisemalo, lakini waelewe kuwa Jakaya Mrisho Kikwete ambae leo hii ni rais wa Tanzania ni mwanachama wa Chadema anayetambuliwa kwa kadi yake HALALI aliyokabidhiwa 25/6/2005 na Mzee Mzee Mtei katika ardhi ya Bagamoyo chini ya ushuhuda wa Mbowe, Mzee Makani na wadau wengine kadhaa mhimu.
Hilo lilitokea baada ya kuwa na mvutano mkali ndani ya ccm wakati Kikwete akiamini kuwa sasa ni "zamu" yake kuteuliwa kugombea urais wa Tanzania, makundi makubwa yaliyokuwa yakiongozwa na yeye Kikwete yalimtisha kiasa cha kufikia hatua ya kujiandaa kukikimbia chama hicho, ambapo hatua hiyo iliwafanya wazee wahekima kubuni mbinu ya kuiua ccm kwakupandikiza jasusi mhimu ndani ya ccm,
Walimfuata kwanza Bagamoyo, wakamshawishi aje Chadema agombee urais na kwakuwa alikuwa na majority angeshinda, akakubali na kukabidhiwa kadi rasmi ya uanachama, ikawa sasa anasubiri tu jina lake likatwe ili ajiunge na jeshi hilo la ukombozi, Lakini nyuma ya pazia wazee hawa walikuwa tayari wamemuingiza kwenye rada za kumtumia kuivuruga ccm na kuiangusha kabisa bila yeye kujua.
Mungu sio Yericko wala Jakaya, jamaa akapenya uteuzi pale Chamwino Dodoma, ambapo mgombea wa Mkapa bwana Abdala Kigoda alifia mfukoni mwa Mr Cleaner, hili ulikuwa ushindi wa Wazee wa Chadema kwani mpango wao ulikuwa umetimia, walitambua kuwa hana uwezo wa kuiongoza ccm bali ndie mtu pekee wakuiangusha.
Baada ya hapo kilichotokea na kinachoendelea kutokea nyinyi mnakiona na mnakijua,
Kama hamkioni na kukijua subirini 25/10/2015.
Asante wazee wa Chadema, asante Jakaya mwanachama HAI wa Chadema uliyetimiza mission uliyotumwa bila kujijua.
Kwaheri ccm, Kwaheri udharimu!
Manyumbu wanapojaribu kujifariji baada ya mgombea wao kuzuiwa na dole la Magufuli na kusahaulika kabisa.
BAVICHA kwa viroja tu hamjambo! Juzi hapa nilikuta watu wanadai eti Magufuri anatekeleza Ilani ya CHADEMA. Nilipoomba niandikiwe sehemu ya hiyo Ilani ya CHADEMA inayotekelezwa na Magufuri hadi leo sijaandikiwa japo neno moja achilia mbali kifungu husika cha Ilani yenyewe!!
Kwa wenye kumbukumbu zetu bado tunakumbuka jinsi BAVICHA walivyosema eti Jakaya Kikwete ni Jasusi la CHADEMA ambalo lilikuwa na kazi ya kuimaliza CCM! Mtunga ngano maarufu, Yericko Nyerere akatoa hadi simulizi ya JK kutaka kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2005 endapo CCM isingempitisha! Kukatwa kwa mwizi maarufu nchi hii, Edward Lowasa, kukamfanya mtunga ngano Yericko aamini ni mkakati wa JK kuimaliza CCM kisayansi ili "chama chake pendwa" cha CHADEMA kipite kirahisi!!! Yericko huyu hapa:
Kwa akili kama hizi ndo maana wala sishangai watu wanavyojipa matumaini kama ambavyo wengine wanasema "Magufuri anatekeleza ilani ya CHADEMA" mara oh, "Magufuri alikuwa mgombea wa kujitegemea ambae aliitumia CCM....!"
Manyumbu wanapojaribu kujifariji baada ya mgombea wao kuzuiwa na dole la Magufuli na kusahaulika kabisa.
Tehe tehe tehe,Hadi sasa ndani ya siku 30 spidi yake ni 120 kph. Anakula sahani moja na wakubwa!
Akishamalizana na TRA, TPA, TANESCO, NSSF, etc etc etc atakuwa yupo spidi 180 kph.
Baada ya hapo aende kutumbua jipu kuu baba lao la majipu yaani "CCM". Hapo atakuwa spidi 360 kph halafu kwenye corner.
Hii ni serikali ya Magufuli sio ya CCM!
We ilo ccm ni jipu gumu sana, labda amuige Rais wa Zambia
Pandikizi la ukawa hii ya kina kingunge, au kuna ukawa nyingine?!