Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Mimi kama Mtanzania mzalendo na mwenye kuipenda nchi yangu Tanzania
Nasema kama taifa tuna kila sababu ya kumshukuru sana Mungu, kwa kutupatia mh Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli
Nayasema haya kwa sababu, moja ya changamoto kubwa barani Afrika, ni kukosa viongozi wenye dhamira ya dhati katika kuongoza mataifa na watu wao
Sisi Tanzania leo tuna la kujivunia sana tena sana na kutembea kifua mbele, kwa kumpata Rais wa aina hii
Ndani ya muda mfupi katika uongozi wake, ni ukweli usiopingika kuwa anaonyesha kabisa kuwa ana dhamira safi juu ya nchi yake
Mifano ipo mingi sana nisingependa kuiorodhesha humu ndani, ila kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu hawezi kupingana na hili
Japokuwa kama binadamu kuna mapungufu machache sana, ambayo nina uhakika kama taifa tukishikama sote kwa pamoja, mapungufu haya sio kikwazo cha kutukwamisha kwenda tunapotakiwa kwenda
Itoshe tu kusema, Tanzania tuna bahati sana tena sana ya kumpata Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli
Tutakuja kumkumbuka sana kiongozi huyu shupavu na mwenye uzalendo wa kweli
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Nasema kama taifa tuna kila sababu ya kumshukuru sana Mungu, kwa kutupatia mh Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli
Nayasema haya kwa sababu, moja ya changamoto kubwa barani Afrika, ni kukosa viongozi wenye dhamira ya dhati katika kuongoza mataifa na watu wao
Sisi Tanzania leo tuna la kujivunia sana tena sana na kutembea kifua mbele, kwa kumpata Rais wa aina hii
Ndani ya muda mfupi katika uongozi wake, ni ukweli usiopingika kuwa anaonyesha kabisa kuwa ana dhamira safi juu ya nchi yake
Mifano ipo mingi sana nisingependa kuiorodhesha humu ndani, ila kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu hawezi kupingana na hili
Japokuwa kama binadamu kuna mapungufu machache sana, ambayo nina uhakika kama taifa tukishikama sote kwa pamoja, mapungufu haya sio kikwazo cha kutukwamisha kwenda tunapotakiwa kwenda
Itoshe tu kusema, Tanzania tuna bahati sana tena sana ya kumpata Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli
Tutakuja kumkumbuka sana kiongozi huyu shupavu na mwenye uzalendo wa kweli
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika