johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pima maono yake na utendaji kazi wake utagundua Dr Magufuli ni zaidi ya chama cha siasa.
Hata ukiiangalia CCM kwa makini utagundua bila ya Dr Magufuli itayumba na kurudia enzi zake za mazoea.
Ukienda kwenye vyama vya upinzani utakuta vyote vinamkubali kasoro watu wachache sana lakini hata viongozi wao wakuu Mbowe, Mbatia. Zitto, Mrema, Prof Lipumba na Cheyo wote wanamkubali japo kwa namna tofauti.
October nitapanga foleni kumpigia kura Rais Magufuli na Diwani.....mbunge atanisamehe.
Maendeleo hayana vyama!
Hata ukiiangalia CCM kwa makini utagundua bila ya Dr Magufuli itayumba na kurudia enzi zake za mazoea.
Ukienda kwenye vyama vya upinzani utakuta vyote vinamkubali kasoro watu wachache sana lakini hata viongozi wao wakuu Mbowe, Mbatia. Zitto, Mrema, Prof Lipumba na Cheyo wote wanamkubali japo kwa namna tofauti.
October nitapanga foleni kumpigia kura Rais Magufuli na Diwani.....mbunge atanisamehe.
Maendeleo hayana vyama!