eretzisrael
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Dr. Magufuli amefanya mengi makubwa ila kwa jinsi tu alivyopambana na janga la corona linanipa sababu kubwa ya kumchagua katika uchaguzi huu.
Japokua hakukua na lockdown lakini Corona imetuhenyesha lakini jemedari huyu kashinda vita dhidi ya Corona na maisha yamerudi kama kawaida. .. JPM tano TENA 💪
Japokua hakukua na lockdown lakini Corona imetuhenyesha lakini jemedari huyu kashinda vita dhidi ya Corona na maisha yamerudi kama kawaida. .. JPM tano TENA 💪