*Anaandika Mwl M.H .Wage kuhusu mafanikio ya #JPM katika sekta ya kilimo.*
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza pato la Taifa linalotokana na Kilimo kwa 17% toka trilioni 25.2(2015) mpaka trilioni 29.5(2019).
[emoji2936] *#JPM* Amefanya sekta ya Kilimo sasa ichangie 28.2% ya pato la Taifa na kuajiri 58% ya watanzania.
[emoji2936] *#JPM* Amefanya nchi ijitosheleze kwa Chakula kwa 121%.
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza uzalishaji wa mazao makuu ya biashara Pamba, Korosho, Kahawa, Chai, Pareto,Tumbaku, Mkonge toka Tani 796,502(2015) mpaka 1,144,631(2019).
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza upatikanaji wa Pembejeo toka Tani 36,614,28(2015) mpaka 76,725,52 mwaka 2015 ongezeko la 110%
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza uzalishaji wa ndani wa mbegu bora toka tani 2,060,497(2015) mpaka tani 6,917,317(2020) ongezeko la 53%.
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza thamani ya mauzo ya mazao ya bustani(Horticulture) toka dola milioni 412(2015) mpaka dola milioni 779(2019) na kuchangia 38% ya pesa zetu za kigeni.
(Tumeanza kupeleka bidhaa za mboga na maua katika soko la ulaya moja kwa moja).
[emoji2936] *#JPM* Ameimarisha upatikanaji wa Mbolea kwa pamoja(Bulk Procurement System) unaosaidia kupata mbolea kwa wakati na kwa bei nafuu.
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza Idadi ya Viwanda vya mbolea nchini toka 4(2015) mpaka 13(2019).
[emoji2936] *#JPM* Ameanzisha jumla ya Viwanda 189 vya kuchakata mazao ya Kilimo.
[emoji2936] *#JPM* Amefuta ushuru wa tozo za ada 105 kupunguza nyingine 4 Kati ya 146.
[emoji2936] *#JPM* Ametekeleza kikamilifu mkakati wa Taifa wa vijana kushiriki katika kilimo(NSYIA) toka uliozinenduliwa 2016 ili kuwavutia vijana kushiriki katika kilimo, mikoa 12 na halmashauri 81 zinatekeleza mpango huu.
[emoji2936] *#JPM* Ameongeza eneo la kilimo Cha umwagiliaji toka hekta 461,326(2015) hadi 694,715(2020)
[emoji2936] *#JPM* Amerejesha mali za ushirika ndani ya miaka mitano zilizoporwa na kuuzwa kinyume na utaratibu.
Kutoka NCU(Mwanza),SHIRECU 1984(Shinyanga),KNCU(Kilimanjaro).
[emoji2936] *#JPM* Kupitia wakala wa taifa wa kuhifadhia chakula amejenga maghala ya kisasa na vihenge na Kuongeza uwezo wa nchi wa kuhifadhia chakula toka tani 251,000 hadi Tani 501000.
mohamedwage09@gmail.com