Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Bungeni kitu gani?kama shemeji(kaka wa janeth Maghufuri) yake alimpa deal la mabilioni ya shilingi kujenga Chato airport,Kuna properties watoto wake wanamiriki mbezi beach dar,hata ukiwa bungeni miaka kumi huwezi kuzipata
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Usiwe mwepesi kufunika madhambi ya Mwendazake.
Pengine tueleze kwa nini Mbeya hatuna Waziri hata mmoja wakati kanda ya Mgufuli wapo saba au nane.
 
Usiwe mwepesi kufunika madhambi ya Mwendazake.
Pengine tueleze kwa nini Mbeya hatuna Waziri hata mmoja wakati kanda ya Mgufuli wapo saba au nane.
Mbeya mmepewa naibu wa Spika!
 
Na mimi naishia hapa.

NB: Mungu huwa anaona mbali sana. Na kazi yake siku zote haina makosa.View attachment 1802361
Marehemu Ruge Mtahaba alisema ogopa Mungu... ogopa Teknolojia... teknolojia inatusaidia sana kukumbuka yaliyosahaulika..Kauli za Hayati Magufuli zilikuwa za kibaguzi..... matendo tu yalikuwa ni ubaguzi mtupu.....unaweza kukuta huyo kijana wake Account inasoma mpunga mrefu kuliko hata wa PM , unaweza kukuta mtoto ana miradi ya bilions of money....sasa ubunge au uwaziri haikuwa lazima....kumbuka Magu alitwaliwa ghafla kifo hakikumuandaa.... pengine angemuweka sehemu nyeti baadaye.... Asante kwa kutuwekea kauli hiyo ili kuweka kumbukumbu sahihi
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Hivi Gwajima ni Mmakonde? Ingekuwa hamna msukuma kwenye wagombea ange muweka huyo binamu yake. Waulize walio umizwa na huyu mwenda zake. Usimtetee. Kama hukumjua Joseph kuna walio mjua kabla.
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Chawa! Kama kawaida unatafuta koti la kujificha! Sidhani Kama utadumu ndani ya koti Hilo maana litapigwa pasi ya Moto muda hivi punde na mwisho utachomwa na kufa!
 
Je, wajua kazi aifanyayo Joe Magu hadi umfananishe na kupewa ubunge?
Je, wajua kuwa Magu Sr alikuwa genius sana na comedian wa kiwango cha SGR hivyo asengeweza kumleta mwanae smart kwenye ubunge wala ukuu wa mkoa?
Rejea:
1. "Maendeleo hayana chama (vyama*)" lakini matendo yake yalionesha wazi kuwa aliwapendelea wanaccm na kutokupeleka maendeleo majimbo pinzani.
2. "Nchi hii imechezewa sana" huku akiichezea sana- 1.5trilioni ikaingia kibindoni mwake na jamaa zake.
3. Vyeti feki akawafyeka ila akamwacha Makonda akidai haangalii vyeti isipokuwa uchapa kazi
Na mengine mengi
Umesahau lile swaga la udom akiwachomoa watoto wa wengine kwa kuwaita vilaza huku akimuacha bintiye ambaye kasoma Hadi masters na kumuajiri Mambo ya nje!
 
Ni mpuuzi pekee anaweza kuona maneno ya Mbowe juu ya ukabila wa JPM kuwa ni kweli JPM ndo ameweka standard kwenye swala la ajira leo mfumo wa kuajiri serikalini na mashirika na taasisi zake lazima upitie utumishi

Nani asiyejua kuwa watu wa kaskazini walikuwa wanaingizana makazini bila ya vigezo? Huuu ni ukweli mchungu sana ulikuwa ukienda mashirika ,taasisi,wizara zote zanye ukwasi wachaga wamejazana je unadhani ilikuwa sahihi je wao ndo wamesoma peke yao JPM yote alikuja kuweka sawa kila mtu apate kazi kwa juhudi na maarifa aliyonayo si ukabila na kuwekena uliokuwa unafanywa na wachaga .

Mfano mdogo tu Waliosimamishwa kwenye tatixo la Luku yani mtu na msaidizi wake wote wachaga hii ni picha ndogo tu juu ya hawa wenzetu je taasisi na mashirika mangapi wamejazana ?
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Usinichekeshe.
Huyo mtu Kama hata kutongoza hawezi, bungeni ataenda kuongea Nini? Ile aibu ya building and finance au Ile ya vijana kutokua na nyege imetosha.
 
Serikali likumbukeni jimbo la Busokelo,Rungwe mashariki,kuunganishwa na barbara ya lami;kwani ilitoa mchango mkubwa kuleta fedha za kigeni kwa kilimo cha kahawa na sasa chai ,gas,parachichi na nguzo za kupitisha umeme.Mwendazake aliwahi kuahidi ujenzi bila mafanikio wakati sehemu zingine fastafasta
 
Back
Top Bottom