- Thread starter
- #21
Ni vile Tu Amber rutty hana pesa za kuwahonga angepitaWajumbe ccm wangechinjilia mbali
In short nimewakubali sana Wajumbe wa ccm
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vile Tu Amber rutty hana pesa za kuwahonga angepitaWajumbe ccm wangechinjilia mbali
In short nimewakubali sana Wajumbe wa ccm
Ova
Na wateja wao si huko huko CCM ndio maana hawaji Chadema.Eti wasanii wauza unga na wauza mbunye, tigo, matapeli wanataka ubunge wa ccm
Labda jaydee anajitambua
Hahahaa twaweza kusema hivyoKukua kwa tamaa binafsi kupitia Domokrasia.
Hapana upinzani hatuna roho ya Vusasi tutawawezesha mazibgira ya kukua na kukuza vipaji vyao.Siku Upinzani ukichukua nchi hakutakalika kwa aibu za wasaniii wanaojipendekeza sijui wataweka wapi sura zao.
Now you are talking. Pata kibao kwanza cha Peter TorshUmenikumbusha watu kama Bob Marley,Piter Tosh.Kazi ya Msanii kutetea jamii,sio kuisifia selikali inayokandamiza raia wake
Bab Tale😆😆😆😆 nilimsikia manager wa msanii mkubwa mmoja. Wakati akijinadi mbele ya wajumbe. Eti manager anasema yy anajulikana karibia Africa nzima ana waambia wajumbe wasiache kumchagua na wasipoteze nqfasi iyo maana yy anajulikana na anaweza waletea maendeleo ikiwemo barabara
Nikasema God for Bit yaan anafikiri kujulikana kwake through music kutaleta maendeleo kijijini 😀😀😀 ila ngoja tusubirie tuone majawabu ya chumba cha daktari
Eti hata Jackline Silemu anataka ubunge. Lakini alimpita Masta J. Alipata kura 6.naviandishi vya habari navyo vimevamia huko
Naona umekomaa na Diamond and his likes, kwani Diamond amegombea nafasi gani ya kisiasa ?
Jina la Lissu sio weww tu linakutisha hata the Top of Nationa akiliona moyo unaenda mbioKiongozi umeanza vizuri bt huku mwisho ndio umeharibu ulipomtaja huyo .....
Master Jay ameshahau Nadhiri ya Nywele. Samson wa Delila katika Biblia alikuwa na nguvu akiwa na nywele. Alipozinyoa tu akapigwa hadi kufa. Kuna siri kubwa ktk nywele. Ndio maana waswahili husema akili ni nywele sio kwa sababu kila mtu anazo.Master j amekosa vyote ubunge na Rasta,aliponyoa tu Rasta na nguvu zikamuishia.
Gwaji kakosa ubunge na heshima yake kwa waumini wake,atabaki na waumini wa chama chake tu.
You nailed it bro.Kiki za bongo zinaharibu wasanii,mtu anakuja na kiki yake anasikika kwenye mitandao ya jamii anapata followers wengi anadhani anakubalika,kuna watu wanaishi na jamii in real life siyo mitandaoni,jamii husika wanaona mchango wao na kufahamiana,leo mtu anakuja tu anagombea ubunge na jimboni ndo mara ya kwanza kuonekana,unadhani atapata kura ngapi.
Ukitaka uongozi kaa karibu na jamii itumikie hata kwa vyeo vidogo watakukubali tu,hela nayo ni kigezo cha pili cha mafanikio
Master Jay kapata kura ngapi?Master Jay ameshahau Nadhiri ya Nywele. Samson wa Delila katika Biblia alikuwa na nguvu akiwa na nywele. Alipozinyoa tu akapigwa hadi kufa. Kuna siri kubwa ktk nywele. Ndio maana waswahili husema akili ni nywele sio kwa sababu kila mtu anazo.
Ya kwake tuMaster Jay kapata kura ngapi?