richard kaswalala
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 246
- 134
Sio kiyoo.jifunze kwanza kuandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini?Siku Upinzani ukichukua nchi hakutakalika kwa aibu za wasaniii wanaojipendekeza sijui wataweka wapi sura zao.
[emoji23][emoji23][emoji23] wajumbe sio watu wazuriYa kwake tu
😁😁 ninachojua tu ni hajachomoka.Master Jay kapata kura ngapi?
Na kunyoa kote Rasta kule[emoji16][emoji16] ninachojua tu ni hajachomoka.
Kwa wingi ule kama Nyumbu( kwa mujibu wa Baba levo) sio demokrasia ni kiashiria cha njaa kali miongoni mwao.Kipimo cha wasanii wetu ni kwa wanachokiimba na kuigiza ni mapenzi na kuharibu vizazi kwa Mambo ya ajabu. Hii ni kufanya kazi kwaajili ya njaa ya tumbo na akili. Sasa penye mfupa ndo wanaelekekea naamini hata ikawa chadema wataenda tu maana ni njaa, japo wanaitumia Kama haki yao kidemokrasia
Alinyoa ili wampende😄😄Na kunyoa kote Rasta kule
Ili asisemwe na alipanga kumuoa Shaa ili asishambiliwe kuwa Hana mke, Sasa wajumbe wamemkata na Shaa sijui ka ataolewa tenaAlinyoa ili wampende[emoji1][emoji1]
😆😆Ili asisemwe na alipanga kumuoa Shaa ili asishambiliwe kuwa Hana mke, Sasa wajumbe wamemkata na Shaa sijui ka ataolewa tena
Ni hoja mufilisi zenye mlengo wa kutugawa kikabila. Siasa za maji taka.Halafu utawasikia baadhi humu Chadema ni ya Wachagga!
Ukinyoa Rasta unapoteza nguvuNa kunyoa kote Rasta kule
Ndege wanao fanana huruka pamoja!Eti na Amberuty naye ni kada mtiifu CCM😄😄
Hawana ubavu wa kuingia Chadema. Huku ni utumishi tu hakuna posho wala vyeo.Tatizo wote wanataka kwenda ccm wangeingia chadema sidhani kama watu wangekosa pale tatizo sijui ni uoga woooote wanajirundika sehemu mmoja