Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia....
Waziri wa fedha ni mzungu Janet Yellen.
 
Popo kwao ni masikini sana pia Wana baguana kwa dini na kabila,popo muda wote anawaza kuiba
 
Wamarekani weusi ni wavivu wale

Unakuta mtu kamaliza chuo na taaluma yake ila anaranda randa tu mitaani wakati ajira za vibarua zipo

Tujiulize kwa nini watu weupe(wazungu wa USA) na hispanics si watu wa strip Clubs kama wamarekani weusi
 
Tatizo hawa negro wameathirika kisaikolojia wao wanalalamika sana kila kitu wao wanakichukulia katika hali ya ubaguzi wa rangi, yaani wana excuses za kila aina.

Sasa hivi wengi wanakuja huku bongo na nchi za afrika wanaona kama marekani pabaya, sasa karibia wote ni ma-youtuber kazi yao kulalama tu na kuzunguka kila kona kuchukua video eti kuna mall, sijui kuna nyumba nzuri kama vile walidhani tunaishi chini ya mti...

Kuna mmoja kaenda kituo fulani cha watoto yatima Dar kaona michoro ya watoto wa kizungu ukutani basi kalalamika sana kwanini wachorwe wazungu afrika akajitolea kulipia gharama picha zichorwe upya za watoto weusi.
 
Ni Kweli uwezesho unatakiwa lakini ni lazima wapambane. Kama ni madhira ya utumwa hata wayahudi wametokea huko huko.

Kwasababu huwezi kutegemea silver spoon kwenye ulimwengu wa kibepari. Ngoja hao wahamiaji wawachangamshe.
Iyo avatar picha yako ni ya yule Billionea black America
 
Wapopo ni wapambanaji sanaaaa, na ni watu wa kuthubutu,
 
Wanaijeria ni wengi sana kuliko raia wa mataifa mengine mengi. Ni nchi ya saba (7) kwa idadi kubwa ya watu duniani. Kuwa na idadi kubwa ya watu katika nchi, ni kuwa na mikono mingi ya kufanya kazi kwa maana ya nguvu kazi ya taifa.

Lakini, kuwa na idadi kubwa ya watu katika nchi, pia ni kuwa na miguu mingi ya kukimbilia mataifa mengine ama mahali pengine kwenda kufuata fursa za kimaisha. Na wafanyao hivyo huhitaji kujipanga kimadhubuti hali inayowapelekea baadhi yao kupata mafanikio makubwa katika nyanja mbalimbali mahali wanakofikia.
 
Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia.

Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada.

Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa vibaya mno katika sehemu nyingi kuanzia biashara, burudani na hata elimu tabaka ambalo limeelimika kuzidi tabaka lolote, hawa wazungu wamepigwa kanzu.

Sasa hii ishu inawaumiza sana Wamarekani wazawa weusi ambao wengi wao hata shule zimeenda kushoto, ndoto zao mara nyingi huwa wanamichezo, waimbaji, waigizaji, n.k.

Kwa mawazo yangu naona Wamarekani weusi wasipokaza basi huu ndio utakuwa mwanzo wa anguko lao, ikumbukwe Waziri wa Fedha wa saizi wa Marekani ni Mnaijeria aliyezaliwa Naijeria.
Naked truth.
Ila ni matapeli sana
 
Naked truth.
Ila ni matapeli sana
Hio ni stereotype tu mkuu.

Unaweza kwenda hata iringa ukatapeliwa, hio haikupi justification ya kusema watu wa iringa ni matapeli.

Hata sauzi wabongo wanaokamatwa airtport na madawa huaminisha wasauzi kwamba wa tz ni punda wa kubeba mizigo kumbe sio ukweli, ipo hivi kwa raia wengi wa tz wakifika salama na kuishi vizuri huko sauzi hutaziona habari zao ila mtanzania moja tu akikamatwa na madawa habari zitatapakaa sana, ndivyo ilivyo hata kwa wanaijeria, Hao matapeli ndio wapo lakini sio wote, wanaijeria wengi tu huko marekani na uingereza wamerrundikana sana tu kwenye kazi za mahakama, uhandisi z udaktari, michezo, uigizaji, n.k ila ndo vile tena kwenye watu wengi hakukosekani wabaya.
 
Wamarekani weusi wanachochukia saizi ni kwamba wanaijeria wameanza kumfanya mtu mweusi nae anaweza, Kwa muda mrefu wamarekani weusi walikuwa wakilalamika wanaonewa hawabebebwi, kitu ambacho kilifanya wamarekani weusi liwe kundi linaloangaliwa kwa jicho la huruma katika maauzi, Ila sasa hivi hawa wanaijeria wanawaharibia wamarekani weusi ambao walikuwa wanabebwa kwa mgongo wa huruma ya serikali.

Hakika Mnaijeria kwa sasa atawapiga gepu sana hawa Wamarekani weusi.

Trump alikuwa kawapiga pini wanaijeria wasiingie Marekani ila saizi Biden kafungua geti, Wacha wamarekani weusi waisome namba
Inawezekana hao wamarekani weusi asili yao ni Tanzania, maana watanzania ni jadi yao kulialia badala ya kuchukua maamuzi magumu.
 
Inawezekana hao wamarekani weusi asili yao ni Tanzania, maana watanzania ni jadi yao kulialia badala ya kuchukua maamuzi magumu.
Hata mpira wa tanzania zamani ligi ilipokua haina wachezaji wa kigeni, wazawa waliridhika sana kwa kukosa changamoto za ziada matokeo yake walibweteka na timu zilikuwa zinafungwa ovyo zikikutana na tim za nje tofauti na sasa tukiwa na wachezaji wa kigeni wanaoleta changamoto.

Hao wamarekani weusi waliridhika sana, walikuwa watu wa kulia lia, Mnaijeria anachapa kazi halii lii, wamarekani weusi wanaobaki kulia lia wanazidi kuwa masikini wenzao wanaijeria wanahaso wanapiga pesa wamlililie nani ??
 
Back
Top Bottom