Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

Wamarekani weusi ni wavivu wale

Unakuta mtu kamaliza chuo na taaluma yake ila anaranda randa tu mitaani wakati ajira za vibarua zipo

Tujiulize kwa nini watu weupe(wazungu wa USA) na hispanics si watu wa strip Clubs kama wamarekani weusi
Ukiwaambia utaitwa Racist hadi ushangae,na ndio ukweli wenyewe huo...Kosa la Trump alikuwa mkweli kupita kiasi watu wakamuona Racist,ila alichokuwa anaongea ndio uhalisia wa maisha kila kijana anatakiwa kujua,kwamba huu ulimwengu hauna huruma na mtu mvivu.Siasa ya marekani haitaki ukweli inataka mtu mnafiki mnafiki anayeweza ku play victim and race card vizuri,hawa ndio wamejaa na wanawaharibu vijana sana tu...
 
Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia.

Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada.

Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa vibaya mno katika sehemu nyingi kuanzia biashara, burudani na hata elimu tabaka ambalo limeelimika kuzidi tabaka lolote, hawa wazungu wamepigwa kanzu.

Sasa hii ishu inawaumiza sana Wamarekani wazawa weusi ambao wengi wao hata shule zimeenda kushoto, ndoto zao mara nyingi huwa wanamichezo, waimbaji, waigizaji, n.k.

Kwa mawazo yangu naona Wamarekani weusi wasipokaza basi huu ndio utakuwa mwanzo wa anguko lao, ikumbukwe Waziri wa Fedha wa saizi wa Marekani ni Mnaijeria aliyezaliwa Naijeria.
Picha
 
Tatizo hawa negro wameathirika kisaikolojia wao wanalalamika sana kila kitu wao wanakichukulia katika hali ya ubaguzi wa rangi, yaani wana excuses za kila aina.

Sasa hivi wengi wanakuja huku bongo na nchi za afrika wanaona kama marekani pabaya, sasa karibia wote ni ma-youtuber kazi yao kulalama tu na kuzunguka kila kona kuchukua video eti kuna mall, sijui kuna nyumba nzuri kama vile walidhani tunaishi chini ya mti...

Kuna mmoja kaenda kituo fulani cha watoto yatima Dar kaona michoro ya watoto wa kizungu ukutani basi kalalamika sana kwanini wachorwe wazungu afrika akajitolea kulipia gharama picha zichorwe upya za watoto weusi.
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Amewafahamu kupitia stori za vijiweni. Nimeishi nao mbele wale sio watu kwenye hela na zaidi hawatosheki na hata akiwa na kazi nzuri pembeni lazima atakuwa dili chafu drugs, magendo, utapeli na ushirikina ndo usiseme kafara za kutisha nje nje nimezishuhudia.
...Kama ni ke walishapuliza long time
Iv nao wana ushirikana wa kurogana
 
Ukiwaambia utaitwa Racist hadi ushangae,na ndio ukweli wenyewe huo...Kosa la Trump alikuwa mkweli kupita kiasi watu wakamuona Racist,ila alichokuwa anaongea ndio uhalisia wa maisha kila kijana anatakiwa kujua,kwamba huu ulimwengu hauna huruma na mtu mvivu.Siasa ya marekani haitaki ukweli inataka mtu mnafiki mnafiki anayeweza ku play victim and race card vizuri,hawa ndio wamejaa na wanawaharibu vijana sana tu...

Mkuu cha kusikitisha vijana wanashindia uhuni uhuni wa kushinda Club na magenge ya kijinga kijinga though wachapakazi weusi wapo ila wachache sana

Ukitaka kujithibitishia kuwa wale Black Americans wako ovyo fuatilia mji wa Atlanta jimbo la Georgia

Sasa mtu kukalia miziki,magenge ya uhuni na Vilabu vya usiku kutawainua ?
 
Acha uhanitthi wewe.. unawajua wazaramo wewe au unadhani hawa waha na wamanyema waliozamia dar enzi za nyerere ndio wazaramo?

Mzaramo wewe acha kulialia, niuzie hilo jumba la urithi nawe utokomee mbali huko!

Unateseka?
 
Kama sisi wazaramo hapa dar tunavyo kerwa na wachaga na wakinga walio vamia mji wetu na kujimilikisha.
Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia.

Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada.

Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa vibaya mno katika sehemu nyingi kuanzia biashara, burudani na hata elimu tabaka ambalo limeelimika kuzidi tabaka lolote, hawa wazungu wamepigwa kanzu.

Sasa hii ishu inawaumiza sana Wamarekani wazawa weusi ambao wengi wao hata shule zimeenda kushoto, ndoto zao mara nyingi huwa wanamichezo, waimbaji, waigizaji, n.k.

Kwa mawazo yangu naona Wamarekani weusi wasipokaza basi huu ndio utakuwa mwanzo wa anguko lao, ikumbukwe Waziri wa Fedha wa saizi wa Marekani ni Mnaijeria aliyezaliwa Naijeria.
 
Wanaijeria wanachukiwa kwa sababu ya utapeli na kuwalaghai wanawake.
Kuhusu wanawake hawa jamaa wanajua ku care na kuhonga na pia ni waaminifu kwenye mapenzi kwahiyo akimpata mwanamke ni ngumu kuchomoka tofauti na sisi wabongo na congoman uongo mwingi, hatutoi hela, hatueleweki tunafanya nini na kila mwanamke tunaemuona tunataka tuchape
 
Mkuu cha kusikitisha vijana wanashindia uhuni uhuni wa kushinda Club na magenge ya kijinga kijinga though wachapakazi weusi wapo ila wachache sana

Ukitaka kujithibitishia kuwa wale Black Americans wako ovyo fuatilia mji wa Atlanta jimbo la Georgia

Sasa mtu kukalia miziki,magenge ya uhuni na Vilabu vya usiku kutawainua ?
Ni watu walalamishi sana,wakipata hela kazi yao kununua magari ya kifahari na nyumba.Just imagine a black man akipata pesa ananunua magari 15 na nyumba za kifahari 7!,just imagine vya nini?,badala ya ku invest kwenye assets zinazoweza kuleta return kwa muda mrefu kama shares,bonds,bills.Wanakimbilia kununua magari na kufanya starehe.Kingine hawataki majukum ya kifamilia,wanazalisha wanawake zao halafu wanaaacha ma single mother,wanawaite majina ya dharau,bitches,hoe n.k.Investment kubwa marekani kama.music,film,malls,banks,manufacturing,zote zimeshikwa na watu weupe.Hata huo mziki na michezo wanayoipenda yote investors ni weupe.Wao wakipata hela ni pombe,magari na wanawake.Wakiambiwa ukweli wanaita watu racists,.
Sasa hivi wanataka eti reparations kwa sababu wazee wao walichukuliwa watumwa,economic bases zote zipo kwa wazungu na latinos,sasa siku wakilipwa hata hizo reparations paymnts yaani ndani ya siku 3 tu pesa yote inakuwa isharudi kwa whites economic streams,b'se blacks hawa own nyenzo za uzalishaji,they are typical comsumers...Watabaki kudai favours tu
 
Hawa watu walichotushinda ni population na mfumo wa kuanza kusafiri mapema lakini siyo wajanja kama wanavyokuzwa,kuna mafala wengi tu wa kipopo wakiingia kingi hata mbongo anawapiga.

..umesahau KIINGEREZA.

..kwasababu wana uwezo wa lugha basi wanakuwa wepesi kuchangamkia fursa, na hata kufanya utapeli.
 
Kumbuka kuna watu wengi tu kutoka kila pande za dunia hata kila nchi za Afrika, Ila daah hawa wanaijeria ni kama wametumwa kuyatafuta maisha marekani 😂😂😂
Nigerians ni noma , Hakeem olujuwan , Nas Escobar , chamelionare , Sade ,
Popo kwao ni masikini sana pia Wana baguana kwa dini na kabila,popo muda wote anawaza kuiba
Wanajeria wako smart sana
 
hiyo mijamaa ndani ya vichwa vyao imejaa fikra za kibaguzi, lakini wao ndio haweshi kulalamika wanabaguliwa
Hamkuepo kipindi watu wanapigania haki zao kutokana na ubaguzi wa wazi wazi. Hawalalamiki bure kuna kipindi fursa ilikuwa ngumu sana kupewa mtu mweusi. Kila kona mweusi alionekana wa ajabu au jambazi maan ilibidi haki itafutwe kwa nguvu na sio iombwe. Na bado wazungu walivo wabaguzi wakasema hawa ni majambazi na kuongeza sababu za ubaguzi. Aisee em waoneeni huruma wenzenu wanavopikwa huko.
 
Hawana usmart wowote wapumbavu tu,
Niambie Tz inaizidi nini nijeria ? Angalia wanajeria hawa nankwo KANU , okocha , kamaru Osman, Sade , olujuwan, dangote , abiola , lukman ademola , Wiz kid , burns boy , Davido , maprofesa kibao wako vyuoni US na UK , finidi George , amokachi , etc , nitajie ni mbongo anafikia mafanikio ya hao watu
 
Huwezi ukaenda nchi ya watu halafu ukaleta blah blah, ni kama unavyoona Wahindi walivyo huku kwetu, Chinese, au Wasomali. Ukifika nchi isio yako ni lazima upambane sana ili maisha yaende la sivyo utashindwa, wakati wale wazawa wanachukulia poa tu....
ni kama tu vile wazaramo wanavyopigwa gape kila siku na watu wa mikoa ya bara wanaohamia dar.
 
..Nigeria ina watu 206 millioni, na eneo la nchi yao ni 357,000 square miles.

..Tanzania ina watu 60 million, na eneo la nchi yetu ni 365,000 square miles.

..Watanzania tukiendelea kuzaana kwa wingi, na tatizo la ajira lisiposhughulikiwa, tutakuwa na "uthubutu" kama wa Wanigeria.
Inabidi tukomae sasa! Tuzaliane na tuwe na uthubutu... sio kweli kwamba Igbos wana kitu cha ziada bali ugumu wa maisha ndio umepelekea wao kufika mbali...
Wanatafuta hela kwa kadri inavyowezekana! Nadhani wakitoka Nigerians wanafuatiwa na wasomali kuwa na uthubutu wa namna hiyo!
 
Back
Top Bottom