Firdaus9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,196
- 2,797
Huyo bunju yupo kama mdudu nashangaa watu wanakuna huyo halaf na mwengine anaitwa bunju ukikosea kumchuna mkampika mnakufa kama kunusa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo bunju yupo kama mdudu nashangaa watu wanakuna huyo halaf na mwengine anaitwa bunju ukikosea kumchuna mkampika mnakufa kama kunusa.
Embu wekeni na picha za hao mkunga na bunjuKasa ,bunju na mkunga hao Wana species mbalimbali kama hauna utaalamu nao usije ukala ..wapo wenye sumu na wasio na sumu aisee ni hatar haswa bunju anakuondoa Maisha dk 5 hazifiki.
Samaki kama hao Wana kama mushkeri hawaelew mi binafsi siwez kula.
Na hii kesi kama ya 4 hivi toka mimi nasikia mkasa wa huyu mdudu kuua watu
Zamani tulikuwa tunataniana malani "Tumbo kama Bunju".Embu wekeni na picha za hao mkunga na bunju
Hapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.Inawezekana hao kasa wapo jamii nyingi wapo wanaoliwa na wengine hawaliwi na ili kuwagundua inahitaji ujuzi wa wale wanaowajua vyema na ukizingatia kasa ni miongoni mwa viumbe vilivyopo hatarini kutoweka duniani basi uenda wale wanaoliwa wamebaki wachache sasa wale wenzangu na mie kwa sababu ya uchu wao wanajikamatia tu na kuwafakamia pasipo tahadhari ndio maana nikasema waachane na kitoweo hicho.
Embu wekeni na picha za hao mkunga na bunju
Embu wekeni na picha za hao mkunga na bunju
Mafia ipo Mkoa wa Pwani.Hivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Kasa sijawahi kula lkn Pweza,ni samaki mtamu sana.Yaani mtu unakulaje kasa sijui pweza
yeah wanasema ana sumu kali japo ni mtamHuyo bunju yupo kama mdudu nashangaa watu wana
please come again hapo kwenye mkunga, mtaam mimi huyo nimemla sana tu sjadhurika labda nimekula asie na sum hao bunju na kasa sijawah kuwala na sitarajiiKasa ,bunju na mkunga hao Wana species mbalimbali kama hauna utaalamu nao usije ukala ..wapo wenye sumu na wasio na sumu aisee ni hatar haswa bunju anakuondoa Maisha dk 5 hazifiki.
Samaki kama hao Wana kama mushkeri hawaelew mi binafsi siwez kula.
Kumbe ni kobe
Kasa ni samaki au Kobe boss😀Kasa sijawahi kula lkn Pweza,ni samaki mtamu sana.
Na hii kesi kama ya 4 hivi toka mimi nasikia mkasa wa huyu mdudu kuua watu
ChengaHapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.
Na kwa kuzingatia hawa wako hatarini kutoweka basi ni rare, wavuvi wakongwe ndio wanajua kuwatofautisha
Jamani wamasai wamefanikiwa kuhama na ng'ombe wao hadi maeneo yasiyo na ng'ombe. Inakuwaje watu bado wanakula vitu visivyoeleweka?Mpaka muda huu watu sita wamefariki dunia baada ya kula nyama ya kasa kisiwani Mafia wakiwemo watoto wawili ambao ni ndugu huku baba yao na mama yao wakiwa wapo hospital hapa Mafia wamelazwa.
Taarifa zinakuja sababu bado huduma inaendelea watu ni wengi waliokula taarifa inakuja ishazikawa miili ya watu watatu, bado watatu.