Upo Sahihi lodge ni huduma ya kibiashara Sasa kama hazieleweki ni shida hiyo na mafinga huwezi kusema mji wa kibiashara ule ni mji wa viwanda na kilimo Cha miti angalia hata population bado ndogo watu wengi wanashinda misitun na viwandani na sehemu ya mji iliyochangamka ni jam bek ha nmb bank na njia panda ya madibila ila ukienda miji ya kibiashara Ina watu wa kutoshaKama ni hivyo si mji wa kibiashara ni wa wakulima. Mji wa kibiashara hauwezi kuwa na gesti chafu.
Tatizo sio uzuli kaongelea uchafuWewe kwenu ni pazuri?
Sikupingi bloanguUkitaka mji uwe wa kibiashara lazima huduma kama hizi muhimu ziwe vizur kwa watu wenye vipato vyote hizo ndo biashara mfano angalia miji ya kibiashara kama kahama ,tunduma na makambako wapo vizuri kwa Kila huduma maduka saa kumi na mbili asubuh yamefunguliwa miji Ina watu wa kutosha full mishemishe njoo mafinga maduka yanaanza saa mbili kufunguliwa lodge ndo hivo Kuna haja ya kujifunza maeneo mengine
Hahahaaaa uliza kwa Boda Mpwa, ila uliza kimya kimya nasikia siku hizi wanakaamata watu ukitaja hilo jinaIko pande zipi hii Makei?
Wanajitahidi kwenye usafi wa mablanketi. Maana kuna sehemu nililala siku kadhaa zilizopita, aisee lile blanketi lilifuliwa miezi kadhaa iliyopita.Nikiwa mafinga Kuna lodge iko karibu na stendi huwa naitumia inaitwa itwalavano na Kuna nyingine ipo nyumba yake jina limenitoka kidogo Ila Kuna nyingine Kama merin n
Upo anambra state kaka au uliwahi kaa naija.Hakuna hotel, lodge, guest House yoyote hapa Tanzania inafua mablanketi kila baada ya kutumia mteja...
Sisi wateja ndio wa kulaumiwa kwa kuwa wachafu,
Sehemu yoyote ya kulala wageni wanatoa shuka mbili na blanket...moja ya kujifunika kabla ya blanket/duvet nyingine ya kutandika...
Sasa baadhi ya sisi wateja tuna tabia za kuwa wachafu kupitiliza tunalala bila kuoga (mama'e) halafu km huyu mtoa mada anaenda kuokota mizoga hapo Ma K anakuja kubiringika nayo halafu bila kuoga then anafutia blanket...unategemea nini?
Tujifunze sisi wateja kubadilika...sio kuhamisha lawama.
Jai-led dea fo 10 years ma broda.Upo anambra state kaka au uliwahi kaa naija.
Daaaah sawa