Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #41
Umeamka na sisi au sio ππAcheni kujipa maujiko, wengi wenu walevi tu πΉπΉ
Hatar sana utaelewa ukiwa humo humo dimbaniππdah! unavalishwa jezi na mchezo hujauelewa.
πΉπΉπΉ khaaaa.!!πππAcha kutuonea wivu itakuwa lastborn wee kazi yenu kususa tu ndo mnachojuaπππ
ππBora umekubali mdogowangu alikuwa analia ukipikwa ugali wa Dona ila lastborn hapana ππΉπΉπΉ khaaaa.!!
Wifi mi napenda kususa mpk nakera, halafu nna viburi vile vya uzima.!!
Nilikuwa nikisusa najifanya siongei na mtu ili nisioshe vyombo, basi sis anajua mbinu zangu atasema βOsha vyombo ndo ususeβ π€£π€£
Watasusa Uzi Hao Kwa kususa wako vizuri ππNina jambo nao hawa watu wa kudeka deka,ntawafikia mda si mrefu
Mtuache ma lastborn nyie endeleeni kujipakulia minyama tu.!!Kpnz Labella being first born haimaanishi kwamba nisiweze kuishi maisha yangu,kikubwa upande wa pili wa shilingi natimiza majukumu yangu kama kawaida
Maisha ni kubalance mambo,na istoshe kukaa na dem kwenye basi haimaanishi kwamba nipo kimapenzi zaidi laa,ila hata wewe utakubaliana na mimi,kukiwa na combination ya me na ke hakuna kuboa yan iko hivyo
Ntakuja na uzi wa malast born mda si mrefu nina jambo na nyinyi
πΉπΉπΉπΉππBora umekubali mdogowangu alikuwa analia ukipikwa ugali wa Dona ila lastborn hapana π
Tatizo tukijipakulia minyama nanyi mko pembeni mnataka kudoeaππMtuache ma lastborn nyie endeleeni kujipakulia minyama tu.!!
Chaiiii πππΎJpili hii unaenda kupambana nini? πΉ
Nitakuja na bandiko lenu mkae kwa kutuliaSisi wa mwisho tukoje?
Bibi yako katisha sana,yaani ukioga sana unakondaπππΉπΉπΉπΉ
Mimi nilikuwa sipendi kuoga ile asubuhi, mchana na jioni, basi bibi akija anamsema mama βMuacheni mtoto kila saa mnataka aoge ndiomana anakonda hanenepiβ π€£π€£
Basi hapo mimi bichwa hiloo nafurahi kweli, huyu bibi mpk leo nampenda.!!
Tupo km mtu na mwanae, kumjua bibi yangu mpk tukwambie.
ππ kweli kabisa sijui huwa wanajikuta wakina naniWatasusa Uzi Hao Kwa kususa wako vizuri ππ
Ulevi na roho mbaya ni vitu havipatani kabisa , walevi wana mioyo ya kipekee sana.Acheni kujipa maujiko, wengi wenu walevi tu πΉπΉ
πΉπΉπΉ huyo bibi yangu ana vituko, ana vimaneno vingi halafu bibi wa mjini sasa.!!Bibi yako katisha sana,yaani ukioga sana unakondaππ
Mwambie nimempenda bure
Mmeanza kuwasilisha utetezi wenu πΉπΉUlevi na roho mbaya ni vitu havipatani kabisa , walevi wana mioyo ya kipekee sana.
View attachment 3192959
Uyo baba ni last born nadhaniHuu ni ushuhuda tosha kwamba hawa watu ni watu na nusu hakika wanapambana sana
Duh huyu jamaa uliyemuelezea ana changamoto sana kwakweli,mungu amsimamie sana
Nimeboreka na tabia ya baba yake,mtu amemfungulia biashara mama yake halafu baba anaifilisi,hakika sio baba wote wana sifa ya kuwa baba
Walevi waheshimiwe mkuu, japo mimi sio mtoto wakwanza ni wa nane , wanne kutoka mwisho.Mmeanza kuwasilisha utetezi wenu πΉπΉ
ila bora bibi wa hivyo anafurahi na wajukuu zake,kuna bibi wengine hawana kucheka wala kufurani na wajukuu zao ni visirani hatar yaniπΉπΉπΉ huyo bibi yangu ana vituko, ana vimaneno vingi halafu bibi wa mjini sasa.!!
Nikimuona huwa najiona mimi kashanipa vitabia vyakeβ¦.!!
Mko dazani?? πΉπΉWalevi waheshimiwe mkuu, japo mimi sio mtoto wakwanza ni wa nane , wanne kutoka mwisho.