Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Green house effect ni matokeo ambayo hulipah joto dunia, hii husababishwa na gesi joto na gesi mkaa hususani , methane, kabonidayoksaidi, mvuke wa maji (water apor) na oksaidi za naitrojeni ambazo hutokea kiasili au kwa matendo ya binadamu lakini pia CFCs... Kama gesi mkaa zitazidi kuwa nyinyi ndivyo matokeo hayo huzidi kuwa makubwa yaani matokea ya joto kuongezeka kuzidi kutokea amayo huleta ongezeko la joto.
 
Matokeo ya nyumba za kijani mkuu



Mmepuyanga
 
Green house effect are those effects due to green house gases,such as chrolofluoro carbon, carbondioxide that emmited form large industrial area .That green house gases cause global warming and natural calamities

Very shallow explanation
 

Jibu hili hapa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Acha umbumbumbu kima wewe!

kama hujui kitu kaa kimya hapa ni home of great thinkers, nyie ndio mnaoipunguzia hadhi Jf
 
opp
 
[emoji310] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hello jamiiforums member leo nimeona niwaletee habari njema ihusuyo kilimo cha kisasa yaani GREEN HOUSE or NET HOUSE kwa sasa kwenye kampuni yetu tunazalisha net za green house zenye ukubwa wa 5.5x30m kwa Tsh 250,000/- unaweza kutumia miti mirunda kujengea green house yako gharama zakuinstall shambani inategemea na ukubwa wa eneo lako pia tuna shed net 75% au 55% zenye ukubwa wa 2x100m au 4x50m tusha jenga nyingi sana Morogoro,DSM nk Karibuni sana
 
Ndio umetumwa uje utangaze hivyo???mteja atakuamini vipi?hakuna jina la mtengenezaji,contact hata kapicha????Nikilinganisha na Wakenya wanavyotangaza bidhaa zao kweli Tanzania safari tuliyonayo bado ni ndefu saana
 
Ndio umetumwa uje utangaze hivyo???mteja atakuamini vipi?hakuna jina la mtengenezaji,contact hata kapicha????Nikilinganisha na Wakenya wanavyotangaza bidhaa zao kweli Tanzania safari tuliyonayo bado ni ndefu saana
Kweli mkuu yani wafanyabiashara wa kibongo wako under standard sana, utafikiri amelazimishwa kufanya biashara, na hii yote unakuta mtu anafanya biashara ya kitu ambacho hayuko competent nacho na hataki kujifunza namna bora ya kuitangaza bidhaa yake.
 
Usilinganishe standard ya Matangazo ya Wakenya kana kwamba ndiyo standard.Mleta Uzi ameonesha matokeo ya mfumo wa eliminate yetu,kuanzia ya shule za bite na zile zingine.Tumshauri Ajazie nyama au aweke details zaidi.
Kumponda mleta Uzi hila kumpa maelekezo stahiki pia ni Kuonesha Mapungufu ya mfumo wa Elimu.Haina tofauti na MTU anayepinga mambo bila kuleta mbadala.
 
Kampuni ya A to Z Textile Mills ltd ndio watengenezaji wa net za green house so garama inakua nafuu kwasabab tunatengeneza wenyewe
 

Attachments

  • IMG_20161128_141343.jpg
    192.9 KB · Views: 116

Nakushauri weka namba za simu,mahali mlipo na maelezo ya huduma za ziada kama mnazo
 

Hujataja bei za 'shed net'.
Bei tafadhali, bei za 'shed net'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…