Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
MamboMto Lumemo ushafanya yake!! Poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MamboMto Lumemo ushafanya yake!! Poleni sana.
Kwangu hapa navyoandika hivi nipo ndani na maji yameingia. Ni mengi kuliko tale ya trh 25.Minarani... Hali ni mbaya sana.
Last time maji hayakuingia mpaka ndani...
Leo naona ni balaa zaidi.
Ila cha kushangaza India na Bangladesh watu wanakufa na joto kali jua linawaka balaa scorching heat.Dunia imechachafya kila pembe ya dunia mafuriko na kimbunga. Kuna tatizo sehem si bure!
Nenda kwenye ulezi wa kimbunga hidata. Post no 335 kama sikosei. Mwelekeo ni huku.Wanasema kitaishia mgeta.
Mkuu tuwekee picha/video basi na uzi ushibe vizuriHali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa Ifakara kwa 80% upo kwenye maji.
Hasara ni kubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Cement na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa.
Kuna baadhi ya familia zinahitaji msaada.
Mtuombee.
Shida una haraka Sanaa...Moja ya nyumba. Hali iko hivi. Na hapa mara nyingi maji hayafiki.
Kaweka video kwa chiniShida una haraka Sanaa...
Huo mto hapo ifakara si umejaa, hapo darajani je?Ombea kusikia mafuriko kwa mwenzio... Leo ni balaa na Bado mvua inanyesha.
Haionekani pichaMoja ya nyumba. Hali iko hivi. Na hapa mara nyingi maji hayafiki.
Poleni San ingependezaa mwandishi unge ambatanisha n pichaHali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa Ifakara kwa 80% upo kwenye maji.
Hasara ni kubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Cement na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa.
Kuna baadhi ya familia zinahitaji msaada.
Mtuombee.
Darajani ni mto Kilombero. Huu unaoleta mafuriko hapa ni mto Lumemo.Huo mto hapo ifakara si umejaa, hapo darajani je?
Najaribu kuweka hapa. Sio muda.Haionekani picha
Safi. Hebu wahi Ifakara ukatoe msaada.Mambo