Mafuriko makubwa mjini Ifakara leo Mei 5

Mafuriko makubwa mjini Ifakara leo Mei 5

Darajani ni mto Kilombero. Huu unaoleta mafuriko hapa ni mto Lumemo.

Mto Lumemo una Kona kali sana kwa ivo maji yakiwa mengi na yenye Kasi Lazima yamwage Kuna eneo linaitwa Kwa Shungu.

Tatizo kalavati la kutoa maji Kwa shungu ni Moja tu.
Kwa hiyo daraja Kilombero lipo salama na Lupilo kunafikika kwani bonded hilo ni hatari kwa mafuriko
 
Yaan kwa haya majanga ya kimbunga na mvua nyingi ulimwenguni na hata hapa Tanzania kuna baadhi ya mikoa imekuwa salama kabisaa bila hata kudhurika na majanga yaliyamo kuanzia wilaya...kata...mitaa na vitongoji vyake...ni kwamba imebarikiwa....? Poleni sana
Hujui hata geografia ya nchi ikoje?
 
IMG-20240505-WA0041.jpg

Hapa ni eneo la minarani
 
Yaa ni swala la kijiografia tu hili,ila umesema elnino ni kila baada ya miaka 10🤔
Sasa unadhani elnino huwa inanyesha Tanzania peke yake?

Hivi ukipanda Mlima Kitonga kwenda Iringa, na ukapanda mlima kwenda Iringa mjini huwa unaelewa nini? Unakwenda mabondeni kule?

Labda mkazi wa Makongo juu na Udsm kwenda Goba huwa unadhani kule kuna mafuriko?
 
Ulikua una ushauri gani kuhusu hiyo mito mdugu?
Inahitajika project maalum ya mto Mkondowe ujengewe kutokea unapotoka, Kidete mpaka Kilosa tunaweza kupata hata njia ya usafiri kwa boti.

Maana hayo maeneo kwanza usafiri ni issue mpaka uzungukie Lumuma na ulaya, bodaboda zinapita juu ya reli kutoka Kilosa kwenda Kidete ni hatari sana na hakuna njia.
 
Sasa unadhani elnino huwa inanyesha Tanzania peke yake?

Hivi ukipanda Mlima Kitonga kwenda Iringa, na ukapanda mlima kwenda Iringa mjini huwa unaelewa nini? Unakwenda mabondeni kule?

Labda mkazi wa Makongo juu na Udsm kwenda Goba huwa unadhani kule kuna mafuriko?
 
Back
Top Bottom