Kama upo Dar rahisi, nenda kwenye maduka ya vipodozi makubwa.Genue Og napata wapi au namna ya kuzitambua.
Haya au ya parachute?Kwenye baridi yanaganda kabisa.
Parachute na ayo ya maji mengine.Haya au ya parachute?
πMawese
Ya parachute ndio nimeona yakiganda.Parachute na ayo ya maji mengine.
Sensodine ndio dawa. Izo zingine achaaaaa.Aiseee pole colgate vipi???
Colgate haina shida Maxfresh naikubali sana.Aiseee pole colgate vipi???
Parachute ndio huganda sana maeneo ya baridiYote hayo parachute na hayo mengine...
Jaribu ata ndogo ile ya buku 5 after 3 months utaona mabadiriko.ππππ
Nitaijaribu nayo. Nitakua natumia x2 kwa siku.Colgate haina shida Maxfresh naikubali sana.
Iko poa tafuta hii redNitaijaribu nayo. Nitakua natumia x2 kwa siku.
Hayo sijawai shuhudia ila inawezekana ikawa hivyo pia.Hata hayo mengine nimeshuhudia yakiganda.