Mafyongo Ikulu: Wakurugenzi wawili wameteuliwa sehemu mbili tofauti

Utumishi hii imekaaje huyu DED kupewa halmashauri mbili ya njombe mji na kasulu mji

Makosa kama yanaonesha hamko makini


USSR
 
Kama taarifa za siri zinakosewa basi za siri itakua madudu matupu
 
Nchi inapoongozwa na mtu ambae uwezo wake ni kuwa kiongozi wa NGO,lazima haya yatokee,
Huyu mama Ili kujionyesha kama ndio "Raisi"anatupa misemo na vitendawili vya pwani tu,hana jipya,ni mweupe,na ameanza kujishitukia kwamba,wabongo wameishamuona ni mwepesi tu,alitakiwa akaimbe taarabu tu,
"Simba akiingia mtaani,ajitangazi,Mimi Simba nimekuja,niogopeni"watu watamuogopa kwa matendo yake tu
 
Tatizo mama alikua anawaza kusafiri tu kwenda rwanda na alivyo hatulii km mkojo wa punda
 
Jamaniiieee mkoseee japo tuone COMOTANG khaaa! Kila siku hayohayo TU!!!
 
Nilikuwa napinga, sasa nimekubali kuna tatizo ikulu yetu... Kingine, hivi kuna kigugumizi gani kutangaza idadi ya wanaokufa kwa Corona?
Tuko na shida wenye kuomba waombe na if possible hatua zingine pia zichukuliwe.
 
Usifikiri kuwa ikulu ina watu tofauti na sisi, ndio sisi hao hao na usifikiri mtu kufanya kazi ikulu basi ana akili sana, kuna vilaza wengi tu kama zilivyo taasisi nyingine.
Bora hata sekta binafsi,watu wanatumia akili maana serikalini,ufanye vzr,ufsnye utoporo,salary ipo palepale ndio maana mazombie Mengi,yanajua Swaga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…