Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

Aisee warusi Watu wabaya Sana

wale jamaa wa sitaki-shari bila shaka walisomea uko maswala ya kufinya😃

Mwangalie uyu jamaa aliekatwa sikio, before na after mahojiano😂
 

Attachments

  • IMG_20240323_204249.jpg
    55.2 KB · Views: 4
  • IMG_20240325_013043.jpg
    52.7 KB · Views: 5
🤣🤣
 
Bado upo usingizini ??? Iss ni wayahudi wewe unasoma vyanzo vya Bwajima tu??
 
Atasema rakah zote,na Allah Akbar Kama Mia mbili hv,
Ila hili tukio ni la kuangslia kwa macho matatu, putin na majasusi wake watatengeneza ushahidi ionekane Hao "magaidi" Walipata msaada kutoka Ukraine, au wanakambi ukraine, Ili apate sababu ya kuitwanga zaidi ukraine,
Au tukio zima ni false flag, wale sio magaidi ni fsb operative, plan ilikuwa vsmia ukumbi, ua watu kadhaa, harafu weka ushahidi wa kuonyesha ukraine inahusika!
 
Lakini Sweden huo uhuru wao wa kuchana vitabu vya dini mbalimbali ni vyema serikali yao kutunga sheria kali kudhibiti hilo maana mambo yanaweza yakaanza kwao pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…