KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Nasema watapitia mateso makali mno ambayo watatamani wafe lakini hawatakifa. KGB ambayo Sasa ni FSB inajulikana duniani kote Kwa kutoa mateso makali yasiyostahimilika na mwisho wa siku watasema Kila kitu maana dozi ya mateso itaongezwa Kila siku