Sweden wana thamini uhuru wa watu kuliko jambo lingine lolote, watakuwa wa mwisho dunia hii kuminya uhuru wa raia wao kwa sababu ya wanazi wa dini au kundi lolote.Lakini Sweden huo uhuru wao wa kuchana vitabu vya dini mbalimbali ni vyema serikali yao kutunga sheria kali kudhibiti hilo maana mambo yanaweza yakaanza kwao pia.
That's why MOST terrorist Wana prefer DEATH than to be captured ALIVEnawaonea huruma,sijui miujiza gani itokee wafe lakini kifo kiwe bila mateso.
si walidakwa wanne?wawili wako wapi?au Putin kashawatanguliza kwa Sir God?Mzee wa maokoto $5000/ Mzee wa kutetema, kufikishwa mahakamani
Shamsiddin Fariduni
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1772008738632650945?s=20
Uhuru usio heshimu imani za wengine ni hatari sana kama kwao uhuru ni muhimu kuliko matukio ya kigaidi yaliyo jaa mauaji basi sawa.Sweden wana thamini uhuru wa watu kuliko jambo lingine lolote, watakuwa wa mwisho dunia hii kuminya uhuru wa raia wao kwa sababu ya wanazi wa dini au kundi lolote.
"""Nilimsikia mnusurika mmoja akisema Hospitalini alidhani haya matukio ya kigaidi yanawapataga wengine tu"""Ila tumuombe Mungu ulinzi tu. Hii style ya ugaidi Mumbai style, Westgate style na ya juzi Moscow isitokee nchini. Kwasababu ni magaidi kuwa na Ak 47 na risasi kadhaa na kuingia kwenye hadhara. Inatisha sana. Na huwezi kujua wapi na lini wamezipanga. Nilimsikia mnusurika mmoja akisema Hospitalini alidhani haya matukio ya kigaidi yanawapataga wengine tu.
Pia Sweden nao sasa hivi wako kwenye hali ya hatari.
mkuu!kuna dini nyingine mpk natamani kumuuliza MUNGU kwa nn alizileta!!yaani ina watu makatili sana aisee!unauaje watu wasio na hatia na wasioweza kujitetea!!WHY?WHY?WHY?Walipokuwa wanawamiminia risasi warusi wasiokuwa na hatia walikuwa wanasema Allah akbar Allah akabar. Sijui Ukraine na CIA waliwafundisha kusema hivyo?
Hata wewe ukiambiwa uchague kuishi kati ya Sweden, Marekani au China, Urusi, Uarabuni utakimbilia Sweden na Marekani.Uhuru usio heshimu imani za wengine ni hatari sana kama kwao uhuru ni muhimu kuliko matukio ya kigaidi yaliyo jaa mauaji basi sawa.
Haina tofauti na marekani uhuru wa kumiliki silaha ni muhimu kuliko matukio ya maelfu ya watu kuwawa kwa silaha kila mwaka serikali za namna hii zisizo jali kuhusu usalama wa watu wake kwa kigezo cha uhuru huwa za kipuuzi sana.
Ni aina ya serikali zinazo jali kuhusu usalama wa familia zao na watu walio wazunguka basi nyie tabaka tawaliwa mtajijua huko.
Wee bwana unafikiri matamanio yako ni matamanio ya mtu yoyote yule inashangaza hii.Hata wewe ukiambiwa uchague kuishi kati ya Sweden, Marekani au China, Urusi, Uarabuni utakimbilia Sweden na Marekani.
KorodaniMkuu kende ndio nini..?
Upekee wa huko ni pamoja na hiyo freedom of speech ambayo unawashauri Sweden waiminye au waiondoe kwa sababu ya hofu ya kushambuliwa.Wee bwana unafikiri matamanio yako ni matamanio ya mtu yoyote yule inashangaza hii.
Kitu gani cha pekee kuhusu Sweden na U.S mpaka niende huko
Mungu hajaleta dini yoyote, hiyo ni miradi ya watu.mkuu!kuna dini nyingine mpk natamani kumuuliza MUNGU kwa nn alizileta!!yaani ina watu makatili sana aisee!unauaje watu wasio na hatia na wasioweza kujitetea!!WHY?WHY?WHY?
Yani mtu amenunuwa kitabu Kwa pesa zake halafu umpangie cha kufanya?Lakini Sweden huo uhuru wao wa kuchana vitabu vya dini mbalimbali ni vyema serikali yao kutunga sheria kali kudhibiti hilo maana mambo yanaweza yakaanza kwao pia.
Ukraine keshatwangwa sana na Urusi sidhani kama Kuna kitu anakihofia kwasasa maana hakuna silaha ambayo Putin hajaitumia Ukraine labda Nuclear tu na masaaa machache baada ya hilo shambulio la kigaidi Majeshi ya Ukraine yalitangaza kulipua meli 2 za kivita za Urusi.Atasema rakah zote,na Allah Akbar Kama Mia mbili hv,
Ila hili tukio ni la kuangslia kwa macho matatu, putin na majasusi wake watatengeneza ushahidi ionekane Hao "magaidi" Walipata msaada kutoka Ukraine, au wanakambi ukraine, Ili apate sababu ya kuitwanga zaidi ukraine,
Au tukio zima ni false flag, wale sio magaidi ni fsb operative, plan ilikuwa vsmia ukumbi, ua watu kadhaa, harafu weka ushahidi wa kuonyesha ukraine inahusika!
Upo sahihi sana.Yani mtu amenunuwa kitabu Kwa pesa zake halafu umpangie cha kufanya?
Wale wenye kaswende za ubongo wanaochoma Moto bendera za Marekani na Israel ulishawahi kusikia wanalalamikiwa Kwa lolote?
Hiyo sio freedom ni uwendawazimu mimi na maisha ya hivyo hatuendani.Upekee wa huko ni pamoja na hiyo freedom of speech ambayo unawashauri Sweden waiminye au waiondoe kwa sababu ya hofu ya kushambuliwa.
Chuki ikizidi unakuwa kama chizi mimi nimeziona hzo video nyingi sn hakuna video nimesikia hayo maneno ndio maana pope kawaambia muolewe na wanaume wenzenu atawabaliki alishawaona akili hamnaWalipokuwa wanawamiminia risasi warusi wasiokuwa na hatia walikuwa wanasema Allah akbar Allah akabar. Sijui Ukraine na CIA waliwafundisha kusema hivyo?
Hata wao Sweden wanaona ni wendawazimu kuwazuia raia wao kufanya mambo ambayo hayadhuru kama kuchoma vitabu wanavyojisikia kwa sababu tu eti watu fulani hawafuraishiwi nayo.Hiyo sio freedom ni uwendawazimu mimi na maisha ya hivyo hatuendani.
Paka na panya.
So wauaji wa kiislam wanaisaidia marekanSasa na hapa ndiyo tunapata jawabu kamili Isis ipo chini ya nani!
Na jawabu lipo wazi! Isis ipo chini ya West.