MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Hawathubutu kuvuka Tanzania watavunjwavunjwa.
Nimekutana na hizi habari hapa ila sijui kama ni za kusadikika, kama ni za kweli poleni sana bandugu, kumbe mlishajaribu kuwabip hao magaidi ila ikashindikana Wanajeshi 20 wa Tanzania Wauawa na Magaidi Msumbiji.