Hatuko hivyo mzee,sisi tunafanya vile inatufaa sisi. Na impact yake utaiona.
Hiyo mwaka jana magaidi wamemchinja baba yako mdogo? Hatuwezi kuomba ushauri kwa watu wasiojua wanajifanya wanajua kama nyinyi.Tatizo lenu wazembe sana, hiyo impact mpaka leo mbona haionekani, hayo magaidi hayajaanza leo kuchinja Watanzania, mwaka jana mlichinjwa sana. Acheni misifa pambaneni na kuomba ushauri panapostahiki Majihadi ya kidini yaua Watanzania sita Mtwara karibu na mpaka wa Msumbiji
Hiyo mwaka jana magaidi wamemchinja baba yako mdogo?
Hatuwezi kuomba ushauri kwa watu wasiojua wanajifanya wanajua kama nyinyi.
Huyu sio baba yangu anayefanyiwa hiki kitendo, hatari sana hii, acheni kiburi hawa washughulkiwe mapema kabla hawajawa nongwa.
https://www.jamiiforums.com/data/video/2595/2595081-138450fdac937961a1cdf3ff7465eeaa.mp4
Sisi wanaijua lugha tunayoongeaga nao,wanaielewa fika. Ndio sababu pamoja na kupigania jihad ila wameshambulia wakakimbia,hawakukaa wasubiri kupambana.
Dah we jamaa
Hii noma sasa
Hao vijana wenu huwa hawakai wasubiri mapambano, naona bado wanatafuta umaarufu hawajafikia kiwango cha mashababi kamili, wale wa kujitoa mhanga, kwa hivyo kama mnakwenda kutafuta mapambano nao mtachelewa sana na ndio maana nimesema itakua mnatumia mbinu zisizo, ombeni ushauri, jameni wanavijiji wanachinjwa kama mbuzi huku mkiendelea na misifa na kukimbia kimbia mkitafuta mapambano na hao vijana.
Dah we jamaa
Nyinyi hamna ushauri wa kutushauri sisi. Kwani lini mmefanikiwa kudhibiti ugaidi?
Samahani Mataga.Kwasasa tuna Mambo yetu
Tulifanya hivyo kuwapa uhuru
Suala lakujilinda nijukumu lao
Tulichelewa mno
Kwasasa tuna linda uchumi wetu na mipaka yetu
Wakijaribu kuvuka tu wanalo
Hii lugha itabadilika siku sio nyingi, sasa hivi unasema hakuna taifa lenye uwezo wa kumaliza ugaidi duniani, ila tukiwwamaliza utasema hawa walikua wachanga sio kama Alshabaab, kwasababu tu Alshabaab wamewashindeni.Hakuna taifa lililofaulu kumaliza ugaidi duniani, hata wenye nguvu mara 1,000 zaidi yenu, ila mataifa huombana ushauri kwa namna ya kupunguza, huu sio muda wa matambo wakati watu wanachinjwa kama kuku, nimetazama hizo video zimenipa hasira yaani.
Kama nyinyi ndio mnataka ushauri useme, sisi hatuhitaji ushauri wenu bana.Hakuna taifa lililofaulu kumaliza ugaidi duniani, hata wenye nguvu mara 1,000 zaidi yenu, ila mataifa huombana ushauri kwa namna ya kupunguza, huu sio muda wa matambo wakati watu wanachinjwa kama kuku, nimetazama hizo video zimenipa hasira yaani.
Hii lugha itabadilika siku sio nyingi, sasa hivi unasema hakuna taifa lenye uwezo wa kumaliza ugaidi duniani, ila tukiwwamaliza utasema hawa walikua wachanga sio kama Alshabaab, kwasababu tu Alshabaab wamewashindeni.
Wewe pia moyoni mwako unajua kwamba JW ni jeshi bora kabisa halijawahi kushindwa na kamwe hawa hawawezi kutushinda, kumbuka walianzia Kibiti na tukawashinda wamekimbilia Msumbiji.
Msumbiji ni nchi huru na kuna serikali kamili inayofanya kazi, lazima kuwe na sheria zinazotawala, huwezi kuvuka mpaka na kuingiza majeshi vile upendavyo, huo ni uvamizi kwa mujibu wa sheria za "International law".
Mazungumzo na mipango inafanyika ili JW waweze kwenda huko kusaidia nchi ya Msumbiji, Ukisikia JW wameingia Msumbiji, huo ndio mwisho wao. Ninauhakika utarudi hapa na kusema " Wale walikua ni watoto wadogo sio kama Alshabaab", ili tu kuhalalisha udhahifu wa KDF.
Watu walio wengi wameshaanza kumuelewa siku hizi, hawampi uzito siku hizi.huyu ni falla flani asiyemini hata misimamo yake.
Mkuu usisahau lile jambo letu la gas plant [emoji3][emoji3]Tanzania tunatumia akili sana hatukurupuki hata siku moja, na hata hili tutashinda Kama tulivyoshinda Vita vya ukombozi, M23, Idd Amin na tulivyoishangaza dunia tulivyoishinda Corona.
1) Msumbiji ni nchi huru hatupaswi kuingilia mambo yao hadi watakapotuomba kuwasaidia.
2) Hata wakituomba tuwasaidie lazima tupime maji kabla ya kupeleka majeshi kichwa kichwa kama KDF ilivyojipeleka Somalia, tukiona tunaweza kushinda hiyo vita peke yetu bila madhara makubwa, tutakwenda, vinginevyo tutawasiliana ili twende kama SADC.
3) Sasa hivi tumeweka majeshi yetu kule mpakani, Hakuna hata Sungura anaweza kuingia kutokea Msumbiji.
Jambo moja ninakuhakikishia kwamba iwe itakavyokua, wale magaidi watafutwa kama tulivyowafuta Kibiti wakakimbilia Masumbiji. Hivi tunavyofanya ndio Kenya ilipaswa kufanya, sio kukimbilia kuingia Somalia wakati mpaka wa Kenya na Somalia upo wazi Alshabab wanaingia Kenya kwa urahisi.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app