Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ndio maana ya superpower.Angalia kila kona ana majeshi anaacha kukaa kwake,USA kuna homeless kibao ila anatoa mpaka trillion kuchochea vita nchi nyingine.
USA kasababisha vita kila kona ya dunia, msambazaji mkubwa wa silaha vita ya dunia.
Kule Hiroshima na kafanya ule ujinga?
Kitumie Kingereza chako kuombea maji ya kunywa tu, mengine jikite na Kiswahili.wewe ndio hukuwepo, ISIS was there and DeepPond yuko sahihiView attachment 2942531
Subiri waminywe kende watataja tu aliyewatuma!Inaonekana umesikitika hao magaidi kukamatwa!!!Eti ushahidi wenyewe wamekamatwa wakiwa wanakimbilia mpakani mwa Ukraine![emoji1787][emoji1787]
Kwamba EU walitarajia Putin ashindwe? Hata mwendawazimu anajua Putin angeshinda, mahakama ni zake, katiba ni yake, Duma ni yake akitaka fulani asiwe mbunge hawi, fulani aondolewe ubunge anavuliwa. Wapinzani kaua last time kamuua mpinzani mkuu Navalny miezi miwili sijui kabla ya uchaguzi.Kwani kuna sehemu Urusi kaitaja US,nimeongea mtililiko na mpangilio wa matukio, so kwenye uchunguzi wa Russia yote ataya mconsider kwenye uchunguzi wake lazima apate stahili yale, hato enda directly kwenye mlengo wa kidini,halafu msikalili magaidi wote ni waslam.
Wewe unazani Urusi atarudisha kisasi directly?Russia yupo smart sana atarudisha kisasi ila hatosema kama amelip kisasi,yule boss wa Wargner Prighozhin aliye lipuliwa kwenye ndege kuna sehemu umesikia Russia akikili ni yy kahusika? au kuna siku ushawahi kusikia US kaweka pandikizi halafu yy mwenye aseme yule nilimuweka mimi...... ila mtililiko wa matukio ukiona unaelewa kipi kipo nyuma.
Hivi unawasikiaga hawa wachambuzi wa maswala ya kimataifa, kwenye vyombo vikubwa vya habari,huwaga hawaendagi directly ila watachambua based on mtililiko wa matukio, then unaweza kupata picha halisi. Kwani kwenye mambo ya Intelgence kila kitu ni siri, ila mtililiko unaweza kukupa picha halisi na ndio maana hata mambo yao wana malizana kimya kimya.
Wewe bisha ila Putin kushinda ni shida kwa EU na US sababu ya misimamo yake,ila sehemu nyingine za duniani kwao ni poa sababu hawana mgongano wowote wa maslahi na US,ndio maana kila siku EU na US wana mwekea vikwazo Russia.Kama Putin wangekuwa hawana shida nae vikwazo wanamwekea vya nini?
Yani mda huo huo kaaminywa na mda huo huo ameshakili? Unadhani hao ni polosi wa kibongo kwamba haoniwe hadharani akili hapo hapo,Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.
Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
Hao waliingia hadi moscow kushambulia kigaidi. Suala lao wamelifanikisha. Kuwakamata ni vizuri ila binafsi kwa ukubwa wa Urusi naamini walipaswa zaidi kusifiwa kwa kuzuia ugaidi.Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.
Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
Magaidi kwa nchi gani ? Kwa hao wa Russia wameua mamia ya watu wana wakati mgumu sana.Hivi kati ya magaidi waliokamatwa na watu waliokamatwa baada ya kufeli jaribio la mapinduzi kwenye serikali kama ya Kagame, huwa kundi lipi linakuwa katika wakati mgumu zaidi?
Sasa Putin akishinda wao wanaumia nini? au hivi vikwazo walivyo muwekea vya nini?Mtu kama huna time nae ya nini umuwekee vikwazoo.Kwamba EU walitarajia Putin ashindwe? Hata mwendawazimu anajua Putin angeshinda, mahakama ni zake, katiba ni yake, Duma ni yake akitaka fulani asiwe mbunge hawi, fulani aondolewe ubunge anavuliwa. Wapinzani kaua last time kamuua mpinzani mkuu Navalny miezi miwili sijui kabla ya uchaguzi.
Unafanya as if ushindi wa Putin ni surprise. Ushindi uliokuwa surprise ni wa Erdogan pale Uturuki.
Ukiisha kamatwa unachoma wenzako walio hai na mawasiliano yao yote.Hao waliingia hadi moscow kushambulia kigaidi. Suala lao wamelifanikisha. Hata wakifinywa sijui kupindwa suala lao la ugaidi ndani ya Moscow limeshakamilika.
Ni sawa na mzazi kumkamata alimpa mwanae ujauzito, atapiga weee ila ndo hivyo tena keshapewa mjukuu.
La muhimu ni Urusi kuimarisha ulinzi wa raia wake tukio lisijirudie.
Wote tunajua nani yuko nyuma ya waliotenda hayo, hata wewe unajua lkn unailazimisha akili yako iamini vingine. Kwahio endelea kuamini ulivyochagua wewe.Urusi walipewa tahadhari na West, Putin akazipuuza na akasema hizo ni taarifa za kuzua taharuki tu kwa Urusi(hadi video iko mitandaoni), sasa unafikiri atakubali ni ISIS??
Wanaorudia ISIS nao vipi, nakuweka picha za uongo mitandaon walikua na lengo gani?, wakiongozwa na CNN.Wanarudia rudia Ukraine border mara nyingi ili Taarifa ya kupika ionakane ina mashiko
Sanctions zinawekwa sababu ya mauaji ya NavalnySasa Putin akishinda wao wanaumia nini? au hivi vikwazo walivyo muwekea vya nini?Mtu kama huna time nae ya nini umuwekee vikwazoo.
Ni sawa ila kwa ukubwa wa Urusi huwezi kuwasifia kwa kuwakamata maana hilo ni jambo ambalo hata wahusika pengine walijua litatokea. Urusi ilipaswa kuzuia tukio na kuwakamata.Ukiisha kamatwa unachoma wenzako walio hai na mawasiliano yao yote.
Hawa subiri waanze kufinywa
Kuna sehemu Russia wamesema Navalny kauliwa na wao?Sanctions zinawekwa sababu ya mauaji ya Navalny