Kwani kuna sehemu Urusi kaitaja US,nimeongea mtililiko na mpangilio wa matukio, so kwenye uchunguzi wa Russia yote ataya mconsider kwenye uchunguzi wake lazima apate stahili yale, hato enda directly kwenye mlengo wa kidini,halafu msikalili magaidi wote ni waslam.
Wewe unazani Urusi atarudisha kisasi directly?Russia yupo smart sana atarudisha kisasi ila hatosema kama amelip kisasi,yule boss wa Wargner Prighozhin aliye lipuliwa kwenye ndege kuna sehemu umesikia Russia akikili ni yy kahusika? au kuna siku ushawahi kusikia US kaweka pandikizi halafu yy mwenye aseme yule nilimuweka mimi...... ila mtililiko wa matukio ukiona unaelewa kipi kipo nyuma.
Hivi unawasikiaga hawa wachambuzi wa maswala ya kimataifa, kwenye vyombo vikubwa vya habari,huwaga hawaendagi directly ila watachambua based on mtililiko wa matukio, then unaweza kupata picha halisi. Kwani kwenye mambo ya Intelgence kila kitu ni siri, ila mtililiko unaweza kukupa picha halisi na ndio maana hata mambo yao wana malizana kimya kimya.
Wewe bisha ila Putin kushinda ni shida kwa EU na US sababu ya misimamo yake,ila sehemu nyingine za duniani kwao ni poa sababu hawana mgongano wowote wa maslahi na US,ndio maana kila siku EU na US wana mwekea vikwazo Russia.Kama Putin wangekuwa hawana shida nae vikwazo wanamwekea vya nini?