Si wanaweka simulator tu mzee. Unaswitch mlio tu ukitaka hata wa lamborghini upo tu wa benz v12 nao ni mzuka tu.Hahah vile vi tesla vinatembea kishenzi mzee baba,ziko zinazoenda mpk 0-60 kwa 2.3sec ,yaani kuliko hata supercars.
Ila hazina mzuka ule wa Petrol car,ogopa sana gari inakimbia kichizi afu haina muungurumo wa kibabe hata hainogi aisee.
Muungurumo fake haufai mzee baba.Si wanaweka simulator tu mzee. Unaswitch mlio tu ukitaka hata wa lamborghini upo tu wa benz v12 nao ni mzuka tu.
Huenda wakaleta na power bank zake bongo+mchina maisha huwa mepesi sana.Kibongobongo hata town trip ni shida.
Hizo ni gari za ulaya wenye mtandao mpana wa charging stations.
Inawezekana mkuu, inafungwa sound adapter tu. Inaplay kupitia speakers ambazo ziko attached ndani ya gari na sehem flan kwa nje kwa ajili ya kuliza huo mlio.Wadau kwani inashindikana kutengenezwa gari ya umeme lkn ikawa na mfumo wa kupiga kelele kama alteza yenye muffle kubwa?,wengine maisha yetu yatakuwa magumu na kukosa raha ya kuishi sasa mambo ya kutembea kimyakimya kama nyoka.
kama ni hivyo tutaenda sawa maana ilikuwa sehemu ya msiba maishani.Inawezekana mkuu, inafungwa sound adapter tu. Inaplay kupitia speakers ambazo ziko attached ndani ya gari na sehem flan kwa nje kwa ajili ya kuliza huo mlio.
Unaweza kuwa na tatizo kuhusiana na uwezo wako wa kusikiaMkuu upo dunia gani? Mbona sa izi kuna magari ukiwa ndani husii hata mlio wa gari
cheki mfano huu:kama ni hivyo tutaenda sawa maana ilikuwa sehemu ya msiba maishani.
hihisho kwenye slow charging hapo. Ni kuanzia masaa 5 na kuendelea, 8 mpaka kumi. Rejelea charging systems za tesla, nisaan leaf, Y peng za china ambazo ubora wake bado ni mzuri tu.
Magari ya umeme ndiyo magari yanayotazamiwa kutumika zaidi siku za usoni. Serikali nyingi barani Ulaya zinaahidi kusaidia utengenezaji wa magari yenye kiwango cha chini cha uzalishaji wa hewa sumu, huku makampuni ya Mazda na Maserati yakiwa tayari yametengeneza au kuweka mipango ya kutengeneza magari ya umeme...
Haya magari watu itabidi wawe wanatembea na spare battery, just in case inatokea battery ikapata hitilafu na ku-discharge uko njiani ambako hakuna kituo cha kuchaji battery, au kukawa na hitilafu kwenye charging sytem ya gari, battery ika-drain. Ikitokea hivi uko njiani katikati porini lazima uchoke tu!
Magari ya umeme ndiyo magari yanayotazamiwa kutumika zaidi siku za usoni. Serikali nyingi barani Ulaya zinaahidi kusaidia utengenezaji wa magari yenye kiwango cha chini cha uzalishaji wa hewa sumu, huku makampuni ya Mazda na Maserati yakiwa tayari yametengeneza au kuweka mipango ya kutengeneza magari ya umeme...
Hii ni vita ya Mzungu kumchinja Mwarabu kiuchumi... Mazingira visingizio tu. #iran #saudia #russia #chinaHili suala la ukitumia gari za umeme unaokoa mazingira nalo lina changamoto zake.
Battery za hizo gari zinatengenezwa kutokana na madini yanayochimbwa ardhini kama lithium,cobalt etc kwa hio hayo magari yakitengenezwa kwa mamilioni maana yake hapo kunaenda kufanyika uharibifu wa kufa mtu wa mazingira.
Wamewaweza aisee,maana sasa kila gari latest ni la full umeme au hybrid.Hii ni vita ya Mzungu kumchinja Mwarabu kiuchumi... Mazingira visingizio tu. #iran #saudia #russia #china
hutaki kukaa kwa saa moja (dakika 60) kuchaji betri ya gari... Kwa madai ni upotevu wa your precious time.Ishu ni kudai kuwa wanatunza mazingira kupitia hizo electric cars. Lakini upatikanaji wa hio lithium battery ni worse kabisa na inatumia precious resource ambayo ni muhimu kwa viumbe hai, shughuli za uchimbaji wa lithium zinatumia MAJI mengi mno. Moja kati ya athari ya uchimbaji lithium wanasema inaweza kusababisha ukame!
Besides, kweli ukae karibia lisaa kujaza chaji betri yako? unapoteza precious time
Hata hizi electric vehicles kama ukitaka zitoe sauti kubwa hilo linawezekana sana tu mbona.Mazingira gani yanayotunzwa na magari ya umeme! Hio Lithium inapatikana vipi na huo umeme wa kuchajia izo betry unapatikana vipi! kuzidisha load tu kwenye grid.
Ili ujue kama umeendesha gari, usikie engine inavonguruma! other than that utakuwa unaendesha scooter ya maringi manne na cabin tu.
Magari yanatengenezwa kwa teknolojia kubwa sana, battery zake ziko standard, mara chache sana hilo kutokea ungesema changamoto ya gharama hapo sawa.... Gari za umeme ni GHARI MNOHaya magari watu itabidi wawe wanatembea na spare battery, just in case inatokea battery ikapata hitilafu na ku-discharge uko njiani ambako hakuna kituo cha kuchaji battery, au kukawa na hitilafu kwenye charging sytem ya gari, battery ika-drain. Ikitokea hivi uko njiani katikati porini lazima uchoke tu!
Gharama inatoka wapi tena? Ni kitu gani kinasababisha kuwa ghali, umeme?Magari yanatengenezwa kwa teknolojia kubwa sana, battery zake ziko standard, mara chache sana hilo kutokea ungesema changamoto ya gharama hapo sawa.... Gari za umeme ni GHARI MNO
Yes kwetu lazima iwe ghali sababu magari mengi ni brand new.... Tz ukinunua gari brand new unasomeka una hela sana hata kodi utakayo pangiwa utashangaaGharama inatoka wapi tena? Ni kitu gani kinasababisha kuwa ghali, umeme?