MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

Ishu ni kudai kuwa wanatunza mazingira kupitia hizo electric cars. Lakini upatikanaji wa hio lithium battery ni worse kabisa na inatumia precious resource ambayo ni muhimu kwa viumbe hai, shughuli za uchimbaji wa lithium zinatumia MAJI mengi mno. Moja kati ya athari ya uchimbaji lithium wanasema inaweza kusababisha ukame!

Besides, kweli ukae karibia lisaa kujaza chaji betri yako? unapoteza precious time
Wazeee wa oya oya ful speed mwanzo mwisho watatuangusha sana hawa wazungu
 
Hio Idea ni nzuri lakini battery zina degrade. Atakuja mtu aweke battery yake ishaanza kufifia. Unapewa battery fully charged lakini unaona unakwenda short distance
Hizi za umeme zitakuwa kisanga sana, unaona battery ipo full alafu gahfla unatembea dk kadhaa inakata, battery ikianza mauza uza kama Techno wereva ndio majuto
 
nguvu ya engine HP pamoja na Torque.. sidhani kama zitakuwa kubwa.. ila nashukuru huku kwetu tz tutaendelea na petrol zetu wafanye haraka kutuuzia huku kwa bei cheap .. tu.. nivute mashine bentley benteyga la petrol wao si hawayataki [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahah vile vi tesla vinatembea kishenzi mzee baba,ziko zinazoenda mpk 0-60 kwa 2.3sec ,yaani kuliko hata supercars.

Ila hazina mzuka ule wa Petrol car,ogopa sana gari inakimbia kichizi afu haina muungurumo wa kibabe hata hainogi aisee.
 
Hahah vile vi tesla vinatembea kishenzi mzee baba,ziko zinazoenda mpk 0-60 kwa 2.3sec ,yaani kuliko hata supercars.

Ila hazina mzuka ule wa Petrol car,ogopa sana gari inakimbia kichizi afu haina muungurumo wa kibabe hata hainogi aisee.
Bado siziamini, hata waki weka opt ya kunipa gari nachagua la petrol. Napenda sana gari za petrol
 
Tafiti ndio hazija maliza, kwa sasa wanatumia lithium na wanaendelea kuproduce lithium batteries na kuharibu mazingira vile vile.

Kweli wanataka battery iwe future.

Kuna swali najiuliza, hivi gari za electric zinapotembea wakati yale maringi yanazunguka kwanini hayarudishi chaji kwenye battery?
Nadhani hili lazima wameliona lazima tutafika huko. Gari lazima litajichaji mwisho wa siku tena kwa hisani ya mchina
 
Nadhani hili lazima wameliona lazima tutafika huko. Gari lazima litajichaji mwisho wa siku tena kwa hisani ya mchina
Hili swala linawezekana hata sasa ila nahisi wakifanya ivo watakosa biashara ya vituo vya kuchajisha
 
kwa TZ tuwe na campaign ya kufunga nishati ya Gas. miaka ya nyuma tulitamgaziwa tupeleke magari watufungie hiyo mifumo na vituo vikajengwa vya kujazia gas sikumbuki iliishia wapi hii campign sijasikia tena.
Wapigaji walipiga
 
Simaanishi hio system ilokuwemo kwenye hybrid, nazungumzia full electric car. Wakati maringi yanazunguka, kwanini mzunguko wa hayo maringi usitumike kuzalisha umeme na kurudisha chaji kwenye betri? Windmill inazunguka ndio inatowa umeme, Hydro Elctric Power turbines zinazunguka na kuzalisha umeme, vipi maringi ya gari yanazunguka lakini hayazalishi umeme?
Apo bro niwakati wako ki design huo mfumo na kupiga ela
 
Apo bro niwakati wako ki design huo mfumo na kupiga ela
Ah sijasomea ivo vitu kwa kweli.... Ila kama kuna mtu amesomea ni kweli, anaweza kupiga hela hapa kwetu akaanza na pikipiki za umeme maana zimeanza kuingia ingia saiv
 
Dada yake Britney Spears, Jamie Lynn Spears anamlalamikia Elon Musk kwamba magari ya umeme ya Tesla yanaua paka wake, kwa sababu paka wanakuwa hawasikii gari linavyokuja.

Magari ya umeme hayana kelele kama magari ya mafuta.

Hiyo ni moja ya kasoro ya magari ya umeme.

Kuna sheria nasikia walipendekeza yawekwe sauti yanaendeshwa
 
Kwanini lisitengenezewe mfumo wa kua linajichajilenyewe mala baaada ya kuchajiwa kwa hawamu ya kwanza kabisa?
Kwa maaana kua ni rahisi kuzalisha umeme mahal palipo na mzunguko( pale gari inapotembea).
 
Back
Top Bottom