SGR ya umeme inaanza kufanya kazi lini??Shida wale mabwege pale TPA na TRA wanazichaji kodi hizo gari za umeme. Nimeshangaa mno wakati wenzetu wanazichukulia kama faida kwa mazingira zina msamaha wa kodi.
Tanzania inahitaji gari za gesi ili gesi yake ipate soko, msiwe na akili za kushikiwa.Tanzania ni taifa la ajabu sana duniani.
Zitapigwa import duties kubwa, wao hesabu zao zitakuwa kwenye kufidia ile kodi ya kila lita ya mafuta inayoingia serikalini
Badala ya kuona hizi Electric Vehicles ni mkombozi kwa kulinda mazingira zitakuwa adui kwao
Ilikuwa ianze Feb 2023 ikasogezwa May 2023 toka pale hakuna UpdatesSGR ya umeme inaanza kufanya kazi lini??
Wafanyakazi wa kujenga Zege la Dart wote ni wachina? πHamna wafanyakazi wenye utaalamu na sera zinazotabirika katika uwekezaji na biashara.
Wachina wanachukua tenda zote za ujenzi Africa huku makampuni ya wazawa yakidumazwa na dollars zikienda China.Haha hawa watu walikua wamejiundia kakikumdi ka nchi zao kalikokua kanaishi kwa gharama za mataifa mengine duniani kwa kununua raw materials kwa bei poa na kurudisha manufactured goods kwa bei inayofilisi nchi zingine.(win lose)
Sasa imetikea china ambayo imejiendeleza kitechologia na bila kuwa na tamaa ya kuwanyanya wenzake (win win) waanza kulialia na hawamini wanachikiona.
Kujaribu kuendelea kudhibiti China ni kama kuzuia mafuriko kwa mkono maana hata wao watapata consequences.
Watulie waangalie tu anguko lao hawana namna.
Unaweza shangaa wakapandisha bei ya umeme na vipuri.Tanzania ni taifa la ajabu sana duniani.
Zitapigwa import duties kubwa, wao hesabu zao zitakuwa kwenye kufidia ile kodi ya kila lita ya mafuta inayoingia serikalini
Badala ya kuona hizi Electric Vehicles ni mkombozi kwa kulinda mazingira zitakuwa adui kwao
TRA Ni matracall umbwa waleSawa lakini tutakutana na kirungu kingne tena cha tanesco na TRA pale bandarini, nchi hii kupumzika Ni kaburini tu.
TANESCO wametangaza mvua zikichelewa mgao unaanzaSGR ya umeme inaanza kufanya kazi lini?
Magari ya gesi demand yake ni ndogo sana hakuna kampuni ya kutengeneza magari itakubali kutengeneza magari ya gesi yakae stockTanzania inahitaji gari za gesi ili gesi yake ipate soko, msiwe na akili za kushikiwa.
Hakika mkuuUnaweza shangaa wakapandisha bei ya umeme na vipuri.
HahaaaNdio wanachofanya hicho. Gari ya $5000 utakuta kodi ni dollar $6000
si walete bongo?Baada ya makampuni ya uchina kuteka soko la magari ya umeme duniani kwa sasa.
Umoja wa ulaya kupitia kauli iliyo tolewa na Rais wa umoja huo sasa kuja na kampeni maalumu ya kudhibiti utitiri wa ndinga za EV toka China.
Bi Ursula Von de Leyen anasema
"Global markets are now flooded with cheaper Chinese electric cars.
And their price is kept artificially low by huge state subsidies.
We are launching an anti-subsidy investigation into electric vehicles coming from China."
View attachment 2748959
Umoja wa ulaya wataweza kweli kupambana na moto uliowashwa na haya makampuni ya umeme ya China yanayo pepea kwa kasi sasa ? Tusubiri tuone
Anafikiri Techno anayotumia yy ndio Ile inayotangazwa na Gabriel Jesus,De BruyneNadhani umeshapata jibu,hata Panadol ,sukari,nk ya bongo inayokwenda ulaya ni tofauti na za kuuzwa bongo.
Kanunue techno inayouzwa ulaya ulete mrejesho
Mkuu sisi hatuna haraka wala hatusumbui bongo zetu kwa issue za technologies, sisi kikubwa ni kupata Kazi/ ajira na kupambana kujenga nyumba kaliπππ
Hebu yataje hayo makampuni ,mi naijua Tesla motorsNa hayo magari walioongoza kuuza ni brand za mataifa mengine sio ya kwao, wanatengeneza under license.
Huyu mama babu yake alikuwa afisa wa ngazi za juu kwenye Serikali ya KINAZI ya Hitler karithi traits za babu yake za ukatiri na roho jaribu kufatilia kauli zake anapo zungumzia masuala ambayo haya husu western Europe - vhukulia duala hili lakipumbavu Ujerumani inauza magari chungu mzima Duniani, eana viwanda vya kuhunda magari mpaka huko Merikani, Toyota yenyewe inuza mpaka vijigari vidogo vya bei nafuu sana,mbona hilo halisemi anakwenda kusingizia Serikali ya China eti inavipatia subsidy viwanfa vyao kuunda magar ya umeme cheaply - wao wanashindwa nini si technolojia tu, hakuna cha uchawi hapo and Chinese prople are very Harding people and very innovative, huyo mama na genge lake wanataka kuwawekea Uchina kauzibe basi, hawatali ishindane na TESLA.tBaada ya makampuni ya uchina kuteka soko la magari ya umeme duniani kwa sasa.
Umoja wa ulaya kupitia kauli iliyo tolewa na Rais wa umoja huo sasa kuja na kampeni maalumu ya kudhibiti utitiri wa ndinga za EV toka China.
Bi Ursula Von de Leyen anasema
"Global markets are now flooded with cheaper Chinese electric cars.
And their price is kept artificially low by huge state subsidies.
We are launching an anti-subsidy investigation into electric vehicles coming from China."
View attachment 2748959
Umoja wa ulaya wataweza kweli kupambana na moto uliowashwa na haya makampuni ya umeme ya China yanayo pepea kwa kasi sasa ? Tusubiri tuone
Tatizo China akisema afuate mabeberu atayumba, nakumbuka mwaka 2013 kuna watu niliwaambia ndani ya miaka 10 china itakuwa ya kwanza kwenye ku import na ku export.Tatizo lilianza Mchina kupiga marufuku Iphone kwa matumizi ya ofisi za umma.
Ukimgusa Us umewagusa wazungu wote
Wale jamaa tukiwaita wangese tutakuwa tuna makosa kweli? πHahaaa
Dollar 6000 ,mbona ndogo hivyo mkuu
Hebu kaangalie kodi ya Honda bezel,Nissan leaf au Nissan X trail hybrid uone shughuli yake
Tesla anapata upinzani mkali toka kwa BYD ya uchina. π Watu wengi waki opt kuchukua gari ya kiwango hiko hiko toka China Tesla ataanguka. Ego inawatesa West!Huyumama
Huyu mama babu yake alikuwa afisa wa ngazi za juu kwenye Serikali ya KINAZI ya Hitler karithi traits za babu yake za ukatiri na roho jaribu kufatilia kauli zake anapo zungumzia masuala ambayo haya husu western Europe - vhukulia duala hili lakipumbavu Ujerumani inauza magari chungu mzima Duniani, eana viwanda vya kuhunda magari mpaka huko Merikani, Toyota yenyewe inuza mpaka vijigari vidogo vya bei nafuu sana,mbona hilo halisemi anakwenda kusingizia Serikali ya China eti inavipatia subsidy viwanfa vyao kuunda magar ya umeme cheaply - wao wanashindwa nini si technolojia tu, hakuna cha uchawi hapo and Chinese prople are very Harding people and very innovative, huyo mama na genge lake wanataka kuwawekea Uchina kauzibe basi, hawatali ishindane na TESLA.t