Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?

Wewe,New York itoe takwimu za uongo na watu wa-verify ni za uongo unajua athari yake?

Uongozi mzima wa kisiasa jiji zima lingekosa kura na wote wangeambiwa wajiuzulu

Unajua mahali penye demokrasia iliyokomaa ni kwamba uongo kidogo tu unabadili regime change,hivyo walio madarakani juu chini hawawezi kitu cha hujuma bahati mbaya wajulikane!

Ndio uzuri wa demokrasia iliyokomaa!

Halafu sio "Nu Yok" mzee,unapotaja jina uwe na heshima nalo ni kama wewe Syllogist mtu akuite "Matako-Ass-Illogist-Mavi-Kunuka" nafikiri utajisikia safi sana I guess!

Ni New York,na sio "Nu Yok"

Nchi zote zilizoficha takwimu ni nchi masikini kutupwa na au kama ni tajiri hazina demokrasia zina dictatorship au autocracy au somekind of stupid political system.

Civilizations zina mabaya na mazuri yake ila Civilization ya kuiga ni ya Western Civilization sio some slave-concentration-camp-autocratic civilization of the East and some shit like that!
 
Sweden
 
Corona haina madhara sana kwa afrika na hicho ndio cha msingi, laiti ingekuwa inafanya kama unavyowafanya hao wenzetu basi hata huyo sijui Rwanda Kenya Uganda nao wangeonekana hakuna walichofanya. Kwahiyo hali ya corona kwa afrika ndio inampa jeuri MaguBolsonaro kufanya anayoyafanya na ndio hufanya tuone hao Kenya wenye lockdown ya usiku kuwa nao wako siriaz na mapambano ya corona.
 
Sweden and UK two different countries

UK is a small country with very big population compared to Sweden

Sweden is a bigger country with very small population

UK ina utamaduni wa misongamano,Sweden ina utamaduni mkali sana wa kujitenga individually,no Swede talks to another Swede,anywhere!

Ku-compare these two countries ni ukichaa!

Sweden is traditionally isolative society,no one talks to anyone or near anyone!

Unlike UK!

Mtapita kila mahali kuhalalisha incompetences za bwana mawe!
 
Good comparison yako lakini sio kila mtu anakubaliana na Magufuli.
 
Alijua hofu ndio adui mkubwa wa maisha ya mwanadamu. Ikumbukwe hata Gideon wakati anaandaa jeshi Mungu alianza kuwachuja wenye hofu kwamza ndipo akafuatia kwa wavivu na wazembe. Hivyo katika hili naungana na Rais katika vita na corona. Japo tahadhari lazima zichukuliwe.
 
kwahiyo wewe boss wangu unaishi kwa kutizama nani anasema nini na kuhusu nini juu yako?!!..labda ulikuwa huna hivyo vitu kw lengo la kutaka kununua kiwanja je au kujisomesha zaidi!!...ila sikupingi ni mtazamo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

El Pais ni gazeti ambalo linahusiwhwa na Fake news, na mara nyingi limeshitakiwa kwa habari ambazo haziko sahihi, zenye kutaka kuharibu sifa za viongozi na ukwepaji kodi.

Uktaka ufafanuzi zaidi ingia kwenye hii kitu yaitwa Transparency Toolkit
 
Watakuja tu.
 
Yule!usifie au umponde yule hajali,wanaccm wapo watamsifia na watayaponda mabeberu hukilu wakipokea pesa zao.Kwenye utalii hapo ni issue,Kuna nchi zitatengeneza propaganda kuwa hatukushulikia vilivyo suala la Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wao mpaka leo tangu walivyo anza kutangaza na kujilock down wamefanikisha lipi la maana katika kupunguza maambukizi na vifo vitokanavyo na korona
 
Corona haina kificho ndugu yangu kama hapa kwetu ingechanganya mitaani tungetikisika hata wewe udingepata muda Wa kuandika, Muda utasema wacha tu waseme mwisho watachoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matusi mengine nayo! Nani kakudanganya kuwa matako sina? au mavi yangu hayanuki?

Umeshindwa kujibu unabakia kushabikia matako na mavi ya mwenzako, kaa na hiyo civilazation yako. Waafrika hatuna haja ya usenge wenu, manake, majibu yako ni yale ya wasenge waliokomaa! Demokrasia my Ass. Ni matako tu yanayonuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…