Kwani demokrasia yenyewe imesokea wapi??Ni wapumbavu, hawana demokrasia, wanatudanganya sisi mazuzu TU. Trump walitaka kumuua kama vile Lissu walivyotaka kumuua hapa. Akili kichwani
View: https://youtu.be/PvyYcx0YKLo?si=c35U2vk62XKMcN1k
Kwani kila anayetowa maono yake tofauti na wewe ni CCM!Kwani demokrasia yenyewe imesokea wapi??
Kama demokrasia ni kitu kizuri nadhani tuige na tuiendeze kuwazidi wao ili huko mbeleni waje kujifunza kwetu
Akili za kiafrika zinawaza na kinasa mambo mabaya tu
Bado mna akili mgando nyie maccm
Maumivu ya risasi ni yaleyale bila kujali aliyepiga kafa au Yuko hai. Walijaribu kumfungulia kesi Trump ikashindikana, na walijaribu kumfungulia kesi Lissu nae ikashindikana, hivyo wote walitakiwa kunyamazishwa kwa risasi. Tofaiti Iko wapi? Hakuna demokrasia bwana weee hata huko magharibi, ni ujinga TU wametujaza.Aliyepiga risasi amepigwa pale pale na kufa, Lissu CCTV Camera zilienda kufichwa na mageti yaliachwa wazi
Siyo kama hii ya kijinga ya kwetu tunaishi kwa hisani ya RaisMaumivu ya risasi ni yaleyale bila kujali aliyepiga kafa au Yuko hai. Walijaribu kumfungulia kesi Trump ikashindikana, na walijaribu kumfungulia kesi Lissu nae ikashindikana, hivyo wote walitakiwa kunyamazishwa kwa risasi. Tofaiti Iko wapi? Hakuna demokrasia bwana weee hata huko magharibi, ni ujinga TU wametujaza.
Kwani demokrasia yenyewe imesokea wapi??
Kama demokrasia ni kitu kizuri nadhani tuige na tuiendeze kuwazidi wao ili huko mbeleni waje kujifunza kwetu
Akili za kiafrika zinawaza na kinasa mambo mabaya tu
Bado mna akili mgando nyie maccm
Kwendaaaa !!! hujui maana ya demokrasia Rudi shule kijanaKama demokrasia inafanyakazi basi anzia kwenye familia Yako kwanza ili uone matokeo yake. Mtoto anakwambia hataki kwenda shule unamwambia sawa, anagoma kumeza dawa ya malaria unamwambia sawa, hataki kula unamwambia sawa, anarudi usiku wa manane unamwambia sawa mwanangu, hataki kufanya homeworks za shuleni unamwambia sawa TU, anavuta taulo ulilovaa kutoka kuoga unamwambia sawa.
Maumivu ya risasi ni yaleyale bila kujali aliyepiga kafa au Yuko hai. Walijaribu kumfungulia kesi Trump ikashindikana, na walijaribu kumfungulia kesi Lissu nae ikashindikana, hivyo wote walitakiwa kunyamazishwa kwa risasi. Tofaiti Iko wapi? Hakuna demokrasia bwana weee hata huko magharibi, ni ujinga TU wametujaza.
Sure kaka, walikula kwetu kututawala kwa nguvu, walitufanyishakazi kwa nguvu, walitupora kwa nguvu wakajilimbikizia mitaji. Magereza yao yamejaa wafungwa hasa wa kiume, wanaangusha mabomu kwa Kila anaekataa kunyonywa lakini ss maskini wanatulazimisha tuwe na demokrasia ambayo wao hawana, hawakuwa nayo na hawatakuwa nayo milele.Everything is fake, nothing is real
Na bado tunalishwa upuuzi kuamini kwamba duniani ipo demokrasia ya kweli, bila kujua kwamba upinzani na watawala wote wanamtumikia master mmoja.Upuuzi mtupu tumelishwa.