INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

kuna comment imenisikitisha sana ila sasa huu uzi umenifanya nicheke kwa sauti sio kwa mtanange unaoendelea humu
muuza godoro pia mwishoni kaamua kubadilika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf raha sana
 
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Wewe ni MPUMBAVU.

Ndio maana umekubali kuolewa na mwanamme mwenye mtoto na mwanamke mwingine wakati huyo mtoto humpendi, tena huishi nae. Ungeishi nae huyo mtoto ungemuua wewe.Yani mama mkwe kumuongelea mjukuu wake ilikua inakukera hivyo.

Na ushukuru huyo mwanamme kakuoa kakusitiri ungekua hujaolewa wewe.

Narudia tena wewe ni MPUMBAVU.
 
Haaa haaaa niuzie yote nikalalie maana..Kulalia mkeka nimechoka
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.

Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Saaaaana ndiyo maana mama mkwe wake hawapatani

Loo!! Kumbe ndiyo huyuuu
Fyuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…