INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

kuna comment imenisikitisha sana ila sasa huu uzi umenifanya nicheke kwa sauti sio kwa mtanange unaoendelea humu
muuza godoro pia mwishoni kaamua kubadilika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf raha sana
 
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Wewe ni MPUMBAVU.

Ndio maana umekubali kuolewa na mwanamme mwenye mtoto na mwanamke mwingine wakati huyo mtoto humpendi, tena huishi nae. Ungeishi nae huyo mtoto ungemuua wewe.Yani mama mkwe kumuongelea mjukuu wake ilikua inakukera hivyo.

Na ushukuru huyo mwanamme kakuoa kakusitiri ungekua hujaolewa wewe.

Narudia tena wewe ni MPUMBAVU.
 
20170508_223316.jpg

Mwenzenu mpaka sasa bado sijaona tatizo la magodoro yangu.. mpaka nahisi huyu ladyAj sio yule mwanamke niliyezaa nae nikamtelekeza kweli!!..
 
Back
Top Bottom