Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Je, ni Kweli 96% ya Wagombea wa Upinzani kwenye SM unaamini hawakufaa, na 100% CCM walikuwa Correct?Hakuna ninachokitetea kwa sababu siwezi kutetea suala ambalo halipo!
Kikao cha mpango kazi serikalini hakiwezi kuwa kama mkutano wa hadhara ndio maana kuna sheria na kanuni za utumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kutunza siri za serikali!