Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo na huyo jogoo Wa shamba basi anawika mitandaoniMitandao siyo nchi yote
Serikali za mita tu katumia Watendaji, Tiss, polis, wakuu wa mikoa na wilaya.naona uvhagzi mkuu atakodi mabomu ya Nyukilia.kabisa.Kwani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tulikuwa tunamchagua Rais wa Tanzania?
MnHakuna Uchaguzi Mkuu mwepesi kama ule wa 2020!
Hofu yangu ni kujikuta bungeni kuna wabunge wa upinzani wasiozidi 10 baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Mbona umewashwa washwa au anawika kwenu? Nawe toka hiyo fake ID uone anawika wapi.Toka kwenye hiyo fake ID then uendelee kutema pumba uone anawika wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ala kumbe??Usijitoe ufahamu mwana Lumumba, unadhani Wale Watendaji wa Kata na Vijij waliitwa kufanyaje Ikulu? Na kuna muda, wakatolewa Waandishi wa Habari!
Ilikuwa hivyo Mkuu. Utawala wa Kifedhuli haswa huu!Ala kumbe??
Ni bora wewe umetufichulia yale ambayo tulikuwa hatuyajui!
Hakuna Uchaguzi Mkuu mwepesi kama ule wa 2020!
Hofu yangu ni kujikuta bungeni kuna wabunge wa upinzani wasiozidi 10 baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Atajipitisha bila kupingwa kwa kukata majina ya wapinzani wake kupitia tume uchwara ya uchaguzi kama alivyofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Huyo ameshakula nyama ya mtu hataacha kula.2020 huyu rais wetu atapita bila kupingwa atakaye gombea kumpinga hayupo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Praise team na viwanda feki vya kutekana na kutesana magerezani kwa kesi uchwara za utakatishaji fedha na uraia. Endeleni kusifu na kutukuza. Hilo jogoo bila shaka limewika kwa mkeo.Jogoo ameshawika kokolilo Koko...na Christian Bella
Juzi nilihesabu msafara kutoka Mwanza airport zaidi ya magari 200, wakitoka kupokea ndege. Nikasema kazi ipoThread imejaa ukweli mtupu. Hii nchi kuna watu wanadhani (kama kina Zitto) kuwa rais ni lazima uwe na ma-complication ya kusafiri na kuhudhuria mikutano mikubwa mikubwa. Haya yanatusaidiaje kama nchi? Hatuwataki watu wa aina hii na wafie mbali!
Kwa sisi tuliosoma uongozi katika level za juu, rais hawezi kukaa kikao na watendaji wa kata, administratively inagoma.Hakuna ninachokitetea kwa sababu siwezi kutetea suala ambalo halipo!
Kikao cha mpango kazi serikalini hakiwezi kuwa kama mkutano wa hadhara ndio maana kuna sheria na kanuni za utumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kutunza siri za serikali!
Aache watu wawe huru kujieleza Kama kwa TRUMP......akiendelea hivi siku ukipatikana Uhuru wa kujieleza itakuwa patashika nguo kuchanika