Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Was honest but si kwamba hawez kuiba.1.5 Trillion sio hela kidogo,angekuwa amezichukuwa tungeziona Chato,hazionekani!Semeni msemalo ninyi keyboard warriors,Ila hamtabadilisha mawazo yetu.Magufuli was such an honest President kiasi kwamba hawezi kuiba.1.5 trillion.Hela hizo zimetumika for government genuine business na kwa maslahi mapana ya taifa.
Circumstantial evidence inaonyesha wazi kwamba JPM was an honest President.Was honest but si kwamba hawez kuiba. Kuna 1mil za kuiba and you dont know that.
The fact hakuna ajuae his true identity. Na yapi aliyafanya behind public ni busara kukaa kimya maana most of you guys mnaandika speculations tu.
Hakuna ajuae the truth. And probably haitojulikana
Siwezi kumpangia Mungu.
Mungu amlaze anapostahili.
Tupo wengi lakini kwa aibu yao ya kufanya uchawi mchana kweupe wakaamua kutuita hilo jina...Mimi sio Msukuma,ni Mpare,and what you call Sukuma gang does not even exist,it is a myth aimed at discrediting the good which Magufuli has does for this nation for your selfish and evil ambitions.Shame on you.
In every sense that your sense can perceiveMan of people in what sense ?
Ziko wapi 1.5 T?1.5 Trillion sio hela kidogo,angekuwa amezichukuwa tungeziona Chato,hazionekani!Semeni msemalo ninyi keyboard warriors,Ila hamtabadilisha mawazo yetu.Magufuli was such an honest President kiasi kwamba hawezi kuiba.1.5 trillion.Hela hizo zimetumika for government genuine business na kwa maslahi mapana ya taifa.
Zilitumika kwa maslahi mapana ya taifa letu.Ziko wapi 1.5 T?
Nonsense, Idiot, Pumbav kabsa, Kuna 50+ trl zimeokolewa kwenye madin piaNani anataka kujua kabila lako jombaa? Don't act smart , we have freedom to believe and choose. I believe sukuma gang lipo, na Marehemu hakufanya lolote la maana zaidi ya ukabila na kuwaonea watu. Of cause kuna 1.5 Trillion hazionekani, be informed.
Hivi mtoa mada unakaa England gani hiyo ambayo inakufanya uandike uwongo wa namna hiyo?Corruption among public servants from junior to ministerial level was rife when JPM began his presidency. He soon began to challenge public servants who appeared to have unexplained wealth and instructed them to show their assets had been gained honestly.
The people of Tanzania recognized and acknowledged the uniqueness of President Magufuli and his achievements by returning him to the office at the October 2020 general election with a landslide. Tragically he is no longer around to pursue his plans to further improve the lives of the common people of Tanzania – but he will be sorely missed and mourned by his people for a long time to come.
Harid Mkali is an author & journalist based in London, England. He can be reached via Email:mkali@live.co.uk; phone: +44 7905392355
Kwani wote wanaoingia JF wananunua data, wapo wanaopata hisani za mitandao ya simu.Anayekula chai na bamia wala haijui JF.Wewe ni sadist tu ambaye uliingia kwenye anga za marehemu kwa sababu za uovu wako,ukawajibishwa,huna lolote.
Mimi ni Mtanzania niishiye kijijini and I like him dearly,and I know what my neighbours talk of him.Alikuwa kipenzi cha Watanzania,hakuna Rais ambaye ameshawahi kupendwa na watu wa kawaida kama Magufuli.Maombolezo ya msiba wake yanathibitisha hili.
VON BISMACK ni Mungu gani unamuongelea hapa?Jpm ilikuwa ni zawadi ya Mungu kwa watanzania wenye upendo, huruma, wapenda maendeleo, wacha Mungu..
Binadamu hatujakamila lakini ni binadamu wachache waliokuwa na roho ya kujituma kama jpm
wengi wetu hata kusimamia maendeleo ya familia zetu ni taabu i.e tunashindwa..mwanaume mzima unaikimbia na kuitelekeza familia yako kisa majukumu.
viongozi wengi maneno ni mengi kuliko vitendo ..
kwa upande wangu
maendeleo ni gharama ya muda, pesa na kujituma. Kwa akili za watanzania hutakiwi kuwapeleka kidwmokrasia. diplomatic au romantic utafeli sana tu.
mtanzania hatakiwi kuchekewa katika kutimiza majukumu yake inapobidi Ua, Funga, tesa kwa mstakabali wa Taifa na maendeleo.
HATUWEZI KUFIKA KWA MANENO. WAPO TUTAKAO WAPOTEZA KATIKA SAFARI YA KUFIKA KULE TUENDAKO.
RIP Jpm
matusi ya nini wewe chawaNonsense, Idiot, Pumbav kabsa, Kuna 50+ trl zimeokolewa kwenye madin pia
Nimeshalala, nitacomment kesho💤😴😴Pole Sana.