Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Tunaenda kujengea chato napo pale kama cairo
 
Dah! kweli dunia ina kila aina ya watu na Mungu alifanya hivo makusudi.

Mgombea mmoja anatoa hotuba za matumaini kwa wananchi waliopigiga kimaisha na wengine wao au dungu zao kudhurumiwa kwa namna moja au nyingine na utawala wa awamu ya tano. Na watu wanaitikia kwafuraha na nyuso zao zikionyesha bashasha.

Wakati huohuo mgombea mwingine upande mwingine wa inchi anawatishia RAIA ambao ndo waajiri wake eti msipo mchagua fulani sileti maendeleo
 
Inasikitisha sana ubaguzi wa kichama
 
Huyo hakujua nini maana ya uchaguzi ndio maana akawateua wenyeviti wa vitongoji, vijiji, mitaa, madiwani, wabunge na yeye mwenyewe akajitangaza kama mshindi wa nafasi ya urais.

Very useless guy who deserved only the gallows.
 
Kauli hii ilikuwa mbaya, chafu, ya kijinga na ya kibaguzi kutoka kwa kiongozi wa juu kabisa wa nchi..

Hii haikuwa safi wala sahihi. Huyu bwana hakuwa anajitambua yeye ni nani..

Ni bora sana aliondolewa kwenye nafasi hiyo Kwa namna ile - kifo!!
 
Kauli hii ilikuwa mbaya, chafu, ya kijinga na ya kibaguzi kutoka kwa kiongozi wa juu kabisa wa nchi..

Hii haikuwa safi wala sahihi. Huyu bwana hakuwa anajitambua yeye ni nani..

Ni bora sana aliondolewa kwenye nafasi hiyo Kwa namna ile - kifo!!
Lkn bado mpk leo kuna wafuasi wake wanakwambia alikuwa Rais bora tena Mzalendo.

Kwa alichowanyia hawa watu nashauri waanzishe kanisa lake tu
 
Mwendakuzimu alikuwa Mtu wa hovyo sana
 
Babu jinga limekufa kiko wapi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…