Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 846
- 388
Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.
Usisahau kumkumbusha na Magufuli kuwa Tanzania sio sawa na Libya na Misri, Tanzania ni nchi ya kidemokrasia
"I am politicians " by magufuli
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....
Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...
haah haah Joni Kidevu aka Baba FanuelHahahahaaaaaa leo hapati usingizi na kidevu chake.
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....
Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...
X-pen inauma sana ila ni dawa na sharti upate 5MIU injection 6hrly haina namna.Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.
Two wrongs dont make a right sikukubaliana na kauli hiyo iliyotolewa na ya kukosa nidhamu pia na hata pia umeona sikubaliani na alichofanyiwa mgombea wa UKAWA Nzega kuzomewa pia.
Lakini swala la watu kuleta fujo kwenye mikutano ya wenzao lina madhara zaidi viongozi wa CCM wamekuwa mara nyingi wakiwataka wafuasi wao kukaa mbali na kwenye mikutano ya wenzao au wakienda basi wasikilize kwa amani that is responsible politics.
Lakini viongozi wa UKAWA awafanyi hivyo kukemea matendo ya wafuasi wao in their perspective hizi ni political points bila ya kujali athari zinazoweza tokea lets face it hawa ni watu ambao wanaweza jirushia kiji-bomu kwenye mkutano wao kama walivyofanya Arusha kwa sababu za kisiasa tu wapate public sympathy.
Mbowe ni kiongozi mzuri wa kuwaweka watu kwenye mstari ndani ya chama lakini si akili ya chama kwenye siasa za jamii kwa upande wangu amekuwa akichekewa sana na kwa muda mrefu kwa aina ya kauli zake na siasa zake nje ya saccos yake.
Mshahara kuingizwa siyo kosa cha msingi kabla ya kumtuhumu huyu mhusika je alizichukua hizo fedha zilizokuwa kwenye payroll?Kama alichukua basi ni mwizi na anastahili kushitakiwa na ni aibu kwa taifa hivyo Rais amuondoe mara moja kwenye hiyo nafasi baada ya kufanya uchunguzi kwa kuwasiliana na serikali ya Botswana,na wakati Uchunguzi unafanyika basi asimamishwe kazi kwa muda.Pili kama hakuwa na nia mbaya kwanini baada ya kukubali kazi nyingine asiwandikie barua waajiri wake kwamba hata endelea na kazi hapa inaonyesha kwamba alikuwa na nia ya kutenda kosa?Achunguzwe na hatufai anatia nchi doa na ameshavuruga credibility ya watanzania nchini Botswana.
Tangu lini ukaisifia chadema wewe iwe Leo? Hao wahuni ndio tunaowataka nyie wastaarabu mkae hukooo.
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
umesahau alichokisema pombe kahama alisema kuna watu watakuja kuwadanganyeni wakija wazomeeni,nayeye alitaka kudanganya watu kazomewa.
Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.