Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.
Hao ni vijana wanaopangwa kuleta fujo. Sasa wa CCM nao wakiwaletea fujo tutabaki? Chadema use common sense. Matusi kwenu na kila kitu.Huwezi kushinda kwa kuhonga na propaganda za hivyo.
Teh teh msumari umewaingia!Na uhuni wa kusema mgombea wa ukawa kajinyea unaona ni sawa? Dawa ya moto ni moto
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Mbowe na mpuuzi mwingine Sugu ni tatizo sana sijui kwanini hawa jamaa wa CDM/UKAWA wanamkubali kiongozi wa ovyo na bogus kama yule.
Watu wanatumia nguvu nyingi sana kufanya huu uchaguzi uwe wa kidemokrasia; nakuhakikishia uwezi kuwasikia viongozi wa UKAWA kutoka na kukemea hivi vitu ambavyo vinaweza lipuka muda wowote ni viongozi wa CCM tu wako makini kwenye kuzuia mambo kama haya kuweza kuzalisha fujo za papo kwa hapo.
Wameshaambiwa sana kama mkutano unaona si wa kwako na utaki kumpigia mtu kura usiende kuliko kujitokeza kwa malengo ya vurugu; yaani wanatakiwa wapigwe hawa kushinda kibano cha Mtwara wote na waliomzomea Haji Duni pia Nzega.
UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa
Hahahaa ukiipata nitumie na mimi.Tunaisambaza hii video tuone kama mamvi atafanya mikutano Kanda ya Ziwa!
Umati upi hao ni wahuni tu wanafanya fujo kama mnamtaka Lowassa na mnajiamini si msubiri siku ya kupiga kura.
Hao ni vijana wanaopangwa kuleta fujo. Sasa wa CCM nao wakiwaletea fujo tutabaki? Chadema use common sense. Matusi kwenu na kila kitu.Huwezi kushinda kwa kuhonga na propaganda za hivyo.
Hawakuletwa na malori lskini! Ila amewakuta wamejikalia zao njiani wakiwa hawana ajira ya uhakika ma labda wakiwa wanawakimbia mgambo
Hao ni vijana wanaopangwa kuleta fujo. Sasa wa CCM nao wakiwaletea fujo tutabaki? Chadema use common sense. Matusi kwenu na kila kitu.Huwezi kushinda kwa kuhonga na propaganda za hivyo.
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.
Halafu kuna nyumbu watakuja hapa kusema umati wote huo umehongwa na Lowassa kufanya fujo!