wazee wa kukaliri mpo nawaona, Mlishaamua moja la maana kwenu, kufunga pingu za maisha na ujinga!😝Matagaaaaa!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazee wa kukaliri mpo nawaona, Mlishaamua moja la maana kwenu, kufunga pingu za maisha na ujinga!😝Matagaaaaa!!!!!
Tuliposema huyu sheitwani na genge lake hawafiki July tulimaanisha.Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Huwezi kuswali bila kumtaja sheitwaniAliyesahaulika ni Maalim seif tuseme ukweli ila hauwezi kuzungumzia utawala wa Samia bila kumtaja Magufuli na jana katajwa sana ukiacha humu JF ambapo anatajwa kila siku ya Mungu.
😕😱Ni swala la muda tu apa Tanzania mbaka miti na mawe Yatamkumbuka JPM, Tangu akiwa waziri mbaka akiwa Rais hakuna kiongozi yoyote aliye mkaribia katika Mambo mengi na Nchi ilikua inasonga mbele kwa Kasi Sana.
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Sawaaa bwana baiskeliii...muda utaongeaaa...ila najua hata ww moyoni unasema kabisaa jmp was the real deal in bongooo...Yule kafungiwa chemba maalumu ya mateso hatuwezi kukutana naye.Labda wewe na ukoo wenu.Jamaa kafungiwa na kina hitler na stalin
Yeye alikuwa dereva CCM gari. Lawama kwa dereva haiepukikiBadala ya kuilaumu CCM mnamlaumu
Magufuli.
Ww kweli kichaa unajichanganya mara useme ukamkumbuka!!?Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.