Magufuli alifariki miezi 3 iliyopita lakini unaweza kudhani alifariki kabla ya Nyerere

Magufuli alifariki miezi 3 iliyopita lakini unaweza kudhani alifariki kabla ya Nyerere

Hakuna mwenye akili timamu akamkumbuka dikteta, aliyebariki utekaji na kupigana risasi,maiti kutupwa kwenye viroba, kauli za ovyo Kama "BAKINI NA MAVI YENU MAJUMBANI"
Mbona tayari unamkumbuka kwa kumtaja hayati. Nyinyi watu wa ajabu sana.
 
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Daaa...mkuu nikupe pole sana ww pamoja na familia yako na mademu zako na wake zako..magu alikufanyia kitu kibaya sana..pole sana..ndo maisha jitahd kukubaliana na hali halisi kashasepa hivyoo utafuata ww mtakutana huko mbele..kikubwaa songa mbele..ila uacha ujanja ujanja na ukanjanja wa kuwa na vyeti feki, kutolipa kodi na upuuzi mwingine.
Yule alikuwa jembe asiependa upuuz wa kina sandali..wacha apumzikee sisi ametufanyia mambo makubwaa sana..nikipita pale ubungo fly over, nikienda tazara..nikitazama hospital huku kijjn kwetu, nikitazama maji yaliyoletwa kijjn baada ya miaka 50 nikitazama shule zilivyoboreshwaa majengo yakee..nikitazama nidhamu aliyoiweka kwa ofc za uma, nikitazama kiwanda cha uchenjagi wa dhahabu mwanza..nikitazama masoko ya madini kwenye mikoa mbalimbali...bwana bwana..ni mengi mno..nabakia kutokwa na machozi kumpoteza mtu kama yule.
Kwa sasa sielew kinachoendelea ni mauza uza tu..corona inalazimishwa kuja na wakat haitak, mikataba ya kishenzi ya kiswahili inafanyika kipuuzi..mambo ya ajab ajab...
Aaaaahhh..wacha tuliwe tenaaaa..
 
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
AHAAA SAFI SANA KIONGOZI,UZI WAKO NIMEUPENDA SANAA......
 
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
umeandika uongo.
 
Kwa kumtamka tu na hii thread yako inaonesha bado yuko moyoni mwako.ukitaka kufeli jaribu kufanya mambo ambayo unataka kila mtu aridhike...
 
Shida ni kwamba unakumbukwaje?
Kila mtu atachagua la kulikumbuka, hata huyo Baba wa taifa kuna wengine wanamkumbuka kwa matendo yake mabaya tu na kumlaani.
 
Ni swala la muda tu apa Tanzania mbaka miti na mawe Yatamkumbuka JPM, Tangu akiwa waziri mbaka akiwa Rais hakuna kiongozi yoyote aliye mkaribia katika Mambo mengi na Nchi ilikua inasonga mbele kwa Kasi Sana.
Nobody will came to remember of him,#Tutende mema na mazuri kwa binadamu wote maisha ni mafupi mpo na hatuna cha maana hapa duniani "" we are strangers"evil always consume evilour" wenzetu weupe katika Akili ya kawaida wametuzidi sana life is sometime nothing at all.
 
Ni swala la muda tu apa Tanzania mbaka miti na mawe Yatamkumbuka JPM, Tangu akiwa waziri mbaka akiwa Rais hakuna kiongozi yoyote aliye mkaribia katika Mambo mengi na Nchi ilikua inasonga mbele kwa Kasi Sana.
Labda mawe ya kuchambia yale ya zamani,ya kijijini kwenu.
 
Daaa...mkuu nikupe pole sana ww pamoja na familia yako na mademu zako na wake zako..magu alikufanyia kitu kibaya sana..pole sana..ndo maisha jitahd kukubaliana na hali halisi kashasepa hivyoo utafuata ww mtakutana huko mbele..kikubwaa songa mbele..ila uacha ujanja ujanja na ukanjanja wa kuwa na vyeti feki, kutolipa kodi na upuuzi mwingine.
Yule alikuwa jembe asiependa upuuz wa kina sandali..wacha apumzikee sisi ametufanyia mambo makubwaa sana..nikipita pale ubungo fly over, nikienda tazara..nikitazama hospital huku kijjn kwetu, nikitazama maji yaliyoletwa kijjn baada ya miaka 50 nikitazama shule zilivyoboreshwaa majengo yakee..nikitazama nidhamu aliyoiweka kwa ofc za uma, nikitazama kiwanda cha uchenjagi wa dhahabu mwanza..nikitazama masoko ya madini kwenye mikoa mbalimbali...bwana bwana..ni mengi mno..nabakia kutokwa na machozi kumpoteza mtu kama yule.
Kwa sasa sielew kinachoendelea ni mauza uza tu..corona inalazimishwa kuja na wakat haitak, mikataba ya kishenzi ya kiswahili inafanyika kipuuzi..mambo ya ajab ajab...
Aaaaahhh..wacha tuliwe tenaaaa..
Yule kafungiwa chemba maalumu ya mateso hatuwezi kukutana naye.Labda wewe na ukoo wenu.Jamaa kafungiwa na kina hitler na stalin
 
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Ndoto ya jinamizi husahaulika kirahisi...
 
Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Acha utani bro!!! Yaani unataka kusema Jiwe Bulldozer kesha sahaulika mara moja hii? Yeye akisema Watz watamkumbuka kwa mama aliyoifanyia TZ k.m.Flyovers, SGR na Bwawa la Nyerere!!!Je, na hayo Watz wesha yasahau tayari?
Hakika wanadamu ni viumbe vya ajabu sana! Jiwe alikuwa akipewa sifa za kijinga akipakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!!!Leo watu hawataki hata kusikia Jina lake. Mama Samia kesha mfunika mwendazake!!!
Hapa ndipo Watz wanatakiwa kupata somo......!!!

"UHALIFU HAULIPI CHOCHOTE" by Lenard Mambo Mbotela, Kenya.
 
Ni swala la muda tu apa Tanzania mbaka miti na mawe Yatamkumbuka JPM, Tangu akiwa waziri mbaka akiwa Rais hakuna kiongozi yoyote aliye mkaribia katika Mambo mengi na Nchi ilikua inasonga mbele kwa Kasi Sana.
Watu makopa kama weye mnatakiwa muda huu muwe gereza la Kisongo pamoja na mhuni mwenzenu Ole Sabaya!!
Nu mpumbavu anaweza kuendelea kumsifia mwendazake inhaling hata Rais mpya Mama Samia ameamua kuachana na utopolo alokuwa anafanya Jiwe!!!
Jiwe ameumiza Watz wengi sana kwa upuuzi wake. Rejea Ambo ya Qaddafy wa Libya ndipo utaona binadamu wanahitaji nini maishani.
Watz hawali flyovers, hawali SGR wala Bwawa la umeme. Kiongozi bora yoyote kamwe HAWEZI KUTHAMINISHA UHAI WA MTU NA VITU......Never ever!
 
umeelezea vzr kua amefutika ktk kumbukumbu zako..haya endelea kuteseka!
 
Aliyesahaulika ni Maalim seif tuseme ukweli ila hauwezi kuzungumzia utawala wa Samia bila kumtaja Magufuli na jana katajwa sana ukiacha humu JF ambapo anatajwa kila siku ya Mungu.
 
Back
Top Bottom